Skip to main content
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI ILIYOTOLEWA NA MONDAY LIKWEPA MWENYEKITI WA CHAMIJADA UKUMBI WA MAKUMBUSHO VA TAIFA
TAREHE 18/09/2009
Ndg,
Waandishi wa habari,
Leo nimewaomba kuzungumza nanyi kwa lengo la kuwaomba mtufikishie ujumbe wetu kwa Watanzania~
y ;vvv /~..-tU-/l
Chamijada tumejiwekea utaratibu wa kuandaa Tamasha na Shindano kwa lengo la kukumbuka Kifo cha Mwasisi wa Taifa letu, Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere .
Tamasha hili ni la saba mfululizo tangu 2002 ambalo tunamkubuka Hayati Mwalimu Nyerere akiwa ametoka kwa takribani miaka 10.
Chamijada tumejiwekea utaratibu wa kualika viongozi mbalimbali wakiwemo viongozi wa kitaifa kama ifuatavyo:-
• 2001 - Bw. Salva Rweyemamu ambaye kwa sa sa ni Mkurugenzi wa
Habari Ikulu, katika Ufunguzi huu katika Viwanja vya Garden Temeke, aliwakilishwa na Hafidhi aliyekuwa Mhariri wa Gazeti la The African.
• 2002 - Bw. Joseph Butiku - Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyewakilishwa na Bw. Garus Abeid.
• 2005 - Mzee Selemani Kitwala (Marehemu) mmoja wa Waasisi 17 wa Chama cha TANU 1954 akiwa wa namba 13.
• 21/09/06- Mhe. Mzee Ali Hassan Mwinyi - Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili.
• 14/10/06- Profesa Herman Mwamsoko - Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni, alikisaidiwa na Dr. Morbert Kayombo Mkurugenzi Makumbusho ya Taifa.
• 2007 - Dr. Paul Msemwa Mkurugenzi Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni.
• 2008 - Bw. Ramadhani H. Halfan - Mkurugenzi Biashara ya Nje aliyewakilishwa na Bw. Samuel MVingira - Mkurugenzi wa Utafiti (BET).

• 25/11/08 - Mhe. Joel Nkaya Bendera ( Mbunge) Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo.
Na mwaka 2009 ninayofuraha kuwatangazia- kuwa tumepata bahati ya kukubali ombi letu siku ya jumamosi tarehe 26/09/2009, Mhe. Mama Salma Jakaya Kikwete atafungua rasmi Tamasha letu na kuendelea na Shindano letu hadi fainali tarehe 10/10/2009; na washindi mbalimbali kusafiri hadi Butiama kwa ajili ya kuidhinisha Tamasha la kumbukizi ya miaka 10 ya Kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu J.K Nyerere .
Aidha siku ya Ufunguzi Chamijada inategemea kupokea wageni mbalimbali akiwemo Mama Kingunge Ngombare Mwiru, Dr. Anna Claud Senkoro aliyepata kuwania Urais kwa tiketi ya TPP - Maendeleo.
Tunawaomba Wahisani, Wafadhiri na Wadhamini mbalimbali kuisaidia Chamijada kufanikisha jambo hili muhimu kwa historia ya Taifa.
Mchezo wa Bao ndio Mchezo wa Kizalendo ulio na Vilabu vingi kuliko Mchezo mwingine wowote ukifuatiwa kwa mbali na Mchezo wa Mpira wa Miguu.
Tumuenzi Baba wa Taifa kwa kuukuza Mchezo wa Bao kufikia kuwa Mchezo wa Kitaifa na alama ya Taifa letu, Tukumbuke wosia wake alisema" Msiuache Mchezo wa Bao Ukafa ni Utamaduni wetu'~

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...