Skip to main content

Posts

Showing posts from August, 2015

MAGUFULI AINGIA MKOA WA NJOMBE LEO NA KUAHIDI MAENDELEO MKOANI HUMO

 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa kijiji cha Kikondo kata ya Ilungu Mbeya vijijini akiwa njiani kuelekea mkoa wa Njombe .  Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa kijiji cha Ujuni Makete mkoani Njombe .   Mwenyekiti wa Shirikisho la vyama vya Watu wenye ulemavu Tanzania ( SHIVYAWATA) Amon Anastaz Mpanju akisalimia wakazi wa Iwawa kwenye mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika stendi ya Mabehewani Makete.  Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Ikonda  kata ya Tandala ambapo aliahidi kumaliza matatizo ya msingi ya wananchi hao ikiwa kujengwa kwa barabara ya lami, kujenga visima vya maji, elimu bure mpaka kidato cha nne.  Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Wanging'ombe mkoani Njombe kwenye mkutano wa Kampeni za CCM amba

Imetulia

Karrueche Chris Brown's a Hypocrite So Stop the Threats!

Karrueche is done with Chris Brown 's possessiveness and his henchman's violent threats ... and she's firing back. Chris' ex is responding to a threat made by a member of Chris' posse ... a threat directed at Marques Houston , who gave thumbs up to the pic she posted of her amazing body. The threat was in the form of a photo of 2 guns, with the caption, "Ni**as sho no how to disrespect, I don't care if they not still together." Karrueche thinks it's time for Chris, and any of his friends, to get over it -- "I'm bored and tried of this situation. I don't get it because I'm single." She adds, "I thought we have all matured and moved on. Especially since Chris has been seen with multiple women since the breakup. I don't want anything to do with any type of violence or negativity." Karrueche tells us she and Marques are just friends, nothing more. The two of them just f

nyota huyu asajiliwa Tottenham Hotspur

Spurs imefanikiwa kumsajili winga mshambuliaji aliyekuwa katika klabu ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani  Son Heung-Min  ambaye ni raia wa Korea Kusini kwa mkataba wa miaka 5 baada ya kumfanyia vipimo vya afya na kufuzu. Dau la pound milioni 21.9 lilitosha kuishawishi klabu ya Bayer Leverkusen kumuachia winga huyo. Tottenham Hotspur inamleta  Son Heung-Min  aliyeifungia Bayer Leverkusen magoli 21 katika mechi 58 za Bundesliga ili aje kushirikiana na  Harry Kane  ambaye ni mshambuliaji wa kati tegemeo kwa klabu ya Tottenham Hotspur.

Bolt akumbwa na kisanga hiki Beijing

Mwanariadha wa Jamaica akishangilia baada ya kushinda mbio za mita 200 jijini Beijing, China Usain Bolt alishinda medali ya dhahabu baada ya kushinda mbio za mita 200 katika Mashindano ya Dunia yanayoendelea jijini Beijing nchini China. Mwanariadha huyo, 29 , kutoka Jamaica alimshinda mpinzani wake Mmarekani Justin Gutlin ambaye aliambulia nafasi ya pili. Usain Bolt alikumbwa na mpiga picha ambaye alikuwa akimfatilia kwa nyuma Wakati akiendelea kushangilia ushindi wake Bolt alikumbwa na mpiga picha na kisha kudondoka chini. Tazama kisanga hiko

Magufuli: Nikishinda sina deni la fadhila

Mgombea urais wa CCM Dkt. John Magufuli Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema hana deni la kulipa kwa mtu yeyote akichaguliwa kushika wadhifa huo kwa kuwa hakutoa rushwa wakati wa uteuzi ndani ya chama hicho. Magufuli alitoa kauli hiyo jana wakati akijinadi yeye na wagombea udiwani na ubunge wa CCM mkoani hapa ili wachaguliwe katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu. Dk. Magufuli alikuwa akijinadi na wagombea hao kwa nyakati tofauti katika mji wa Mbalizi na wilayani Songwe eneo la Mkwajuni, Makongolosi wilaya ya Chunya. Magufuli ambaye jana alikuwa katika  siku ya nne ya kujinadi kwa wananchi na kuomba kura tangu kufunguliwa kwa pazia la kampeni mikoani, alisema tangu kuanza kwa mchakato wa kumpata mgombea wa CCM wa urais ndani ya chama hicho, hakutumia fedha bali alikwenda kimya kimya makao yao makuu kuchukua fomu na kuzirejesha. Alisema kwa mantiki hi

R.Kelly - The Storm Is Over Now

Baraka Da Prince - NIVUMILIE

NYOTA WA KIBONGO WAFUNGUKA

Na Hamida Hassan Mastaa wengi wamekuwa hawadumu kwenye ndoa zao na wengine kwenye uhusiano wao wa kimapenzi. Ukijaribu kumuuliza kijana yeyote mwenye nia ya kuoa atakuambia bora aoe mwanamke wa kawaida kuliko staa. Mkali katika tasnia ya filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Si suala la kuoa tu, hata kwenye mapenzi ya kawaida ni wachache wanaoanzisha uhusiano na mastaa wakiwa na ndoto za kudumu kwa muda mrefu. Ukiona kijana ‘anamsalandia’ staa ujue ni ili amuonje tu kisha amtose. Pia ukifuatilia utagundua kuwa, mwanamke wa kawaida akitokea kumpenda staa wa kiume, anatafuta ile sifa ya kuwa naye lakini anajua hawezi kudumu naye.Kutokana na hilo sasa, makala haya yanajaribu kukupa kwa ufupi sababu 10 ambazo zinawafanya mastaa wengi wa kike kutodumu kwenye ndoa. Tamaa Hili lipo sana kwa mastaa wa kike. Baadhi yao wana tamaa ya kuwa na maisha f’lani ili waonekane nao wamo wakati uwezo haupo. Matokeo yake sasa akiolewa na mwanaume ambaye hana kitu, aki

Bindi Irwin, 17, looks confident at DWTS rehearsal... but admits doing the show is 'more terrifying than jumping on top of a crocodile'

By Dailymail.com Reporter She's been gearing up for the forthcoming season of Dancing With The Stars. And while Bindi Irwin looked confident at her rehearsal on Thursday, the 17-year-old Australian TV personality recently admitted she is full of nerves about doing the show. 'This is going to be more terrifying than jumping on top of a crocodile,' the daughter of the late Steve Irwin (The Crocodile Hunter) told People . Scroll down for video   Mixed emotions: Bindi Irwin appeared to be in high spirits as she arrived at the Dancing With The Stars rehearsal in Los Angeles, California on Thursday - as she revealed she's 'terrified' about it  'Crocodiles, they are very special because they are modern-day dinosaurs. But I've kind of worked with them my whole life, whereas I've never danced before in my life.' Still, Bindi is extremely excited for her opportunity to be on the 21st season of ABC&#

Ben Pol - Maneno

Khloe Kardashian

It looks like the celebrations just keep on coming for birthday boy James Harden. Just a day after Khloe Kardashian treated her new NBA player beau to a wild yacht party, the couple were seen continuing the festivities at bowling alley Pinz in Studio City for another bash with friends on Wednesday night, the day he officially turned 26.  The 31-year-old reality star and her man were said to have partied into the late hours at the venue, to which Khloe donned a casual all-black ensemble.  Scroll down for video   Never-ending celebrations! Khloe Kardashian and boyfriend James Harden continued his birthday festivities at bowling alley Pinz in Studio City for another bash with friends on Wednesday night The Keeping Up With the Kardashians beauty rocked a form-fitting black jacket, which she teamed with skintight trousers, perfect for showcasing her bodacious bottom.  inatoka www.dailymail.co.uk

Tyga 'ordered by judge to pay $70k to landlord' in rent dispute over his Calabasas mansion despite the rapper suing claiming the house is his

It is also alleged that alongside the hefty bill, the father-of-one also has to move out of the property.  However the musician, real name Michael Nguyen-Stevenson, gave his side of the story following news he had failed to pay two months of rent on his Calabasas home - and enlisted the help of his lawyer to try to prove it. Woes: It is also alleged that alongside the hefty bill, the father-of-one also has to move out of the property Keeping Up With The Kardashians: Tyga, real name Michael Nguyen-Stevenson, is dating Kylie Jenner Nguyen-Stevenson claimed that he had actually bought the house, and wasn't renting, and has filed a breach of contract suit to prove so,  People  reports.  Tyga reportedly started the purchase of the house, which he shared with former partner Blac Chyna and their son King Cairo, a year ago, according to  TMZ.     In the lawsuit, Tyga claims he put a down payment of $200,000 on the Calabasas hous

OSCAR PISTORIUS KUACHIWA IJUMAA

Mwanariadha Oscar Pistorius. Oscar Pistorius akiwa na mpenzi wake Reeva Steenkamp. Oscar Pistorius akiwa mahakamani wakati wa kesi yake. Mwanariadha mahiri wa nchini Afrika Kusini, Oscar Pistorius anatarajiwa kuachiwa Ijumaa hii baada ya kuonyesha tabia nzuri akiwa gerezani. Pistorius alihukumiwa kifungo cha miaka mitano gerezani mwaka uliopita kwa kosa la kumuua mpenzi wake, Reeva Steenkamp katika usiku wa Siku ya Wapendanao 'Valentine's Day'. (P.T) Pistorius ametumikia kifungo cha miezi 10 pekee gerezani kati ya miaka mitano aliyohukumiwa. Baada ya kuachiwa, Pistorius anatarajiwa kuwa akitumikia muda wake uliobaki akiwa katika kifungo cha nje. Wakati akitoa hukumu ya staa huyo, Jaji Thokozile Masipa alisema kuwa kiongozi wa mashtaka nchini Afrika Kusini alishindwa kuthibitisha kuwa Pistorius alikusudia kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp alipompiga risasi nyumbani kwake akidhani kuwa ni mwizi.