Skip to main content

SIMBA SC SAFI SIMBA DAY, SC VILLA YALALA 1-0 TAIFA JANA



BAO pekee la Awadh Juma Issa dakika ya 89, limeipa Simba SC ushindi wa 1-0 dhidi ya SC Villa ya Uganda katika mchezo wa kirafiki jioni hii Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Katika mchezo huo wa kuhitimisha tamasha la Simba Day, Awadh alifunga bao hilo baada ya kuuwahi mpira uliorudi kufuatia kupanguliwa na kipa Stephen Odongo baada ya kutokea piga nikupige langoni mwa SC Villa.
Haukuwa ushindi mwepesi kwa Simba SC, kwani SC Villa walionekana kuwa wapinzani wagumu kwao tangu mwanzo, licha ya kucheza pungufu tangu dakika ya 44 baada ya Yoseri Waibi kutolewa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Ibrahim Hajib.
Shujaa; Awadh Juma (kushoto) akikimbia kushangilia na Simon Sserunkuma


Hamisi Kiiza 'Diego' wa Simba SC akipambana Mganea mwenzake, Henry Katongole wa SC Villa

Simba SC ilianza kucheza soka ya kuvutia na kusisimua mashabiki wake kipindi cha pili, baada ya kocha Muingereza Dylan Kerr kufanya mabadiliko kadhaa.
Waliobadili mchezo ni beki wa kushoto, Mrundi Emery Nimubona ambaye alikuwa anatia krosi maridadi zilizozua kizazaa langoni mwa wapinzani na Mwinyi Kazimoto ambaye alikwenda kuiongoza timu vizuri.
Kipa Vincent Angban kutoka Ivory Coast alikuwa kivutio kutokana na kulinda vizuri lango la Simba, ikiwa ni pamoja na kuokoa michomo kadhaa ya hatari.
Mshambuliaji Mganda Hamisi Kiiza ‘Diego’ aliyewahi kucheza kwa mahasimu, Yanga SC alikuwa mwiba kwa mabeki wa SC Villa, lakini alishindwa kufanya kitu kimoja tu- kutumbukiza mpira nyavuni.
Pamoja na ushindi huo, kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kocha Kerr ana kazi nzito ya kufanya ili Simba SC ifikie katika ubora wa kuweza kushindania taji dhidi ya Azam na Yanga.
Kikosi cha Simba SC kilikuwa; Vincent Angban, Hassan Kessy/Emery Nimubona dk62, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’/Samih Hajji Nuhu dk75, Hassan Isihaka, Juuko Murushid, Justuce Majabvi, Said Ndemla, Ibrahim Hajib/Simon Sserunkuma dk46, Hamisi Kiiza/Danny Lyanga dk83, Mussa Mgosi/Boniphace Maganga dk84 na Peter Mwalyanzi/Mwinyi Kazimoto dk46.
SC Villa; Stephen Odongo, Misi Katende,Yoseri Waibi, Henry Katongole, Paul Mbowa, Jonathan Mugabi, Godfrey Lwesibawa/Eturude Abel dk73, Martin Kiiza, Tokko Fahad/Kasumba Umaru dk66 na Robert Achema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.