Skip to main content

Soma hapa Ney wa Mitego anavyofunguka sababu za kwanini anatumia namba 966


Msanii wa bongo fleva Nay wa Mitego amefunguka na kusema namba za 966 kwenye nyimbo zake, atakua akitumia namba hizo hata katika magari yake.amesema huwa anatoa oda na kusubiri…Ni kitu ambacho ameamua iwe hivyo kwa gharama yoyote ile
nay1
 Ney wa mitego amesema “Yan iko hivyo, gari zangu zote nitakazonunua zile ndio namba zangu, hata baadhi ya vitu vyangu vya usajili huwa nasajili kwa namba zile pia hata tin namba yangu ni hivyo hivyo yan, niliomba hivyo na nimeisajili hivyo,so ni namba ambazo zimeshakuwa official kwamba ndio namba zangu“.
Alipoulizwa kuwa huwa anafanya nini kama akiagiza gari na namba zikiwa bado hazijafika! Ney alisema “huwa nasubiri kwa sababu huwa ni order ambayo natoa na ninaihitaji zile namba huwa nasubiri hivyo”.

Comments