Skip to main content

kinachotokea kwenye vipimo vya afya wakati wa usajili



Fahamu kinachotokea kwenye vipimo vya afya wakati wa usajili.
Fahamu kinachotokea kwenye vipimo vya afya wakati wa usajili.
Wakati wachezaji wa soka la kulipwa wakiwa kwenye mchakato wa kusajiliwa kwenye timu mpya kuna vitu vingi sana hutokea ambavyo kimsingi vinakamilisha mchakato wa usajili wa mchezaji husika toka timu moja kwenda timu nyingine.
Moja kati ya vitu vya msingi ni vipimo vya afya ambavyo wakati mwingine huweza kuzuia usajili kufanyika kwa sababu timu hutumia fedha nyingi kumsajili mchezaji na hivyo lazima uhakika wa uwezo wa mchezaji wa kuitumikia klabu ipasavyo .
Mara nyingi huwa inasikika kuwa mchezaji anafanyiwa vipimo vya afya lakini si watu wengi wanafahamu vipimo vya afya kwenye usajili vinahusisha nini.
Vipimo vya Meno.
Vipimo vya Meno.
Unaweza kujiuliza kwanini mchezaji anapimwa meno wakati anatumia miguu kucheza mpira lakini ukweli ni kwamba vipimo vya meno hufanyika ili kuhakikisha kuwa matatizo ya meno
hayatamsababishia mchezaji maumivu ambayo yanaweza kusababisha maambukizi mengine zaidi.
Vipimo vya macho.
Vipimo vya macho.
Vipimo vya macho.
Wachezaji hupimwa macho pia nah ii ni muhimu kwani kiungo hiki kinatumika wakati mchezaji akiwa uwanjani na mtu ambaye ana matatizo ya kuona mbali au karibu ni dhahiri kwamba uchezaji wake utaathiriwa kwa njia moja au nyingine.
Mfano mzuri ni kipa David De Gea ambaye United ilimsajili ikiwa inafahamu matatizo yake ya kutoona mbali na kwa sababu hiyo wakamgharimia upasuaji wa kurekebisha macho yake.
Vipimo vya Presha na moyo.
Vipimo vya Presha na moyo.
Vipimo vya Presha na moyo.
Msukumo wa damu ni kitu muhimu sana kwa wachezaji hii ni kutokana na kazi wanayofanya na mazoezi kuhusisha matumizi ya
nishati na kutegemea msukumo wa damu kutoka maeneo mbalimbali ya mwili kuwa sawa na usio na matatizo yoyote .
Endapo ikigundulika kuwa mchezaji ana tatizo la presha ya kupanda au ya kushuka hali inayosababisha msukumo wa damu ambao hauko vizuri basi hawezi kusajiliwa kwa sababu anaweza kupata madhara makubwa zaidi.
Vipimo vya moyo pia ni muhimu kwani moyo ndio kiungo muhimu kwa mchezaji kutokana na kutegemewa katika kusukuma damu na kuvumilia mapambano ya uwanjani ,
mchezaji ambaye ana tatizo la moyo hawezi kuwa na uwezo wa kutumika uwanjani kwenye mechi au mazoezini kwa asilimia 100 .
Viungo.
Viungo.
Viungo.
Viungo vya mwili hususan miguu , mikono , na viungio vya maeneo hayo ni muhimu pia hasa ukizingatia kuwa miguu kwa mfano ndio hasa jembe la mchezaji .
Maeneo kama goti , kifundo cha mguu maarufu kama enka , kigimbi,kisigino , eneo la paja na misuli kwa jumla ni vitu ambavyo vinatazamwa sana na kama haviko sawa basi mchezaji naye hawezi kuwa sawa .
Afya ya mwili kwa Jumla.
Afya ya mwili kwa Jumla.
Afya ya mwili kwa Jumla.
Mchezaji pia hupimwa afya yake kwa jumla ambapo anatazamwa kama ana matatizo ya asili kama mpangilio usio wa kawaida wa homoni ,
kama ana tatizo la asili kama sickle cell na magonjwa mengine ya kurithi ambayo yanaweza kumfanya asiwe katika hali ya ushindani.
Kwa jumla timu huwa inahakikisha kuwa mchezaji yuko kwenye hali ya afya ya asilimia mia moja ambayo itamfanya awe katika ubora wake wa juu na hali ya kweza kumudu ushindani wa uwanjani
na kurejesha thamani ya fedha iliyotumika kumnunua  kwani endapo mchezaji atanunuliwa huku akiwa na tatizo la afya halafu
akatumikia chini ya nusu ya muda wa mkataba wake itakuwa ni hasara kubwa kwa klabu iliyomsajili na ndio maana mchezaji akifeli vipimo vya afya hawezi kusajiliwa .

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...