Skip to main content

Matokeo CCM yazidi kuwa mwimba kwa Wabunge



Matokeo ya kura za maoni kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi kwa wagombea wa nafasi za udiwani na ubunge yameendelea kuwa mwiba mkali kwa waliokuwa wakitetea nafasi hizo.
Mbunge wa Kilombero Abdu Mteketa
Wilayani kilombero aliyekua mbunge wa jimbo hilo Abdul Mteketa amelazimika kuyakimbia matokeo baada ya kubaini ameangushwa katika kutetea nafasi hiyo.
Hali hiyo imejitokeza wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi ndani ya CCM, wa kuwatafuta wawakilishi wa ubunge na udiwani watakaopeperusha bendera ya CCM, katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu,
Mbunge wa Kilombero Abdu Mteketa alilazimika kususia zoezi hilo baada ya kubaini nafasi aliyokuwa akiwania kuitetea, kuchukuliwa na kijana mdogo, Abubakar Asenga aliyetumia nafasi hiyo kuwaomba wana ccm kuvunja makundi yaliyojitokeza wakati wa kura za maoni na kuwa wamoja ili kufanikisha ushindi na maendeleo ya chama hicho na taifa kwa ujumla
Abubakar Asenga ameshinda kura hizo za maoni za kuwania ubunge kilombero kwa kupata kura 9629,dhidi ya mpinzani wake wa karibu Abdalah Lyana aliyepata kura 3999 huku mteketa aliyekuwa akiwania nafasi hiyo akishika nafasi ya tatu kwa kuambulia kura 2646 na alipotafutwa kwa simu yake ya mkononi iliita bila majibu,
Katibu wa CCM, wilaya ya kilombero Bakari Mfaume pamoja na kushukuru zoezi hilo kumalizika salama,amesema ofisi yake ipo tayari kupokea malalamiko ya wanaodhani wameonewa katika uchaguzi huo ili wafanyie kazi.
Katika maeneo mengine ya uchaguzi ndani ya ccm mkoani Morogoro,baadhi ya waliokuwa wabunge wamefañikiwa kutetea nafasi zao kwa kushinda kura za maoni,akiwemo aliyewahi kuwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Haji Mponda aliyeshinda jimbo la ulanga magharibi,Waziri wa nchi ofisi ya Raisi Menejimenti ya Utumishi wa umma,Celina Kombani akishinda ulanga mashariki,Ahmed Shabiby akishinda jimbo la Gairo na Abdulaziz Abood akishinda Morogoro mjini,huku jimbo wazi la kilosa ambalo awali lilishikiliwa na Mustafa Mkulo ambaye hakugombea tena akishinda Mbaraka Bawaziri.
Walioangushwa ni pamoja na naibu waziri wa maji na mbunge wa mvomero amos makala na nafasi hiyo kuchukuliwa na aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo hilo suleiman Sadiq Murrad,aliyewàhi kuwa Naibu Waziri wa afya Dkt. Lucy Nkya akianguka jimbo la Morogoro kusini Mashariki na nafasi yake kuchukuliwa na Mgumba,
Mwenyekiti wa CCM, mkoa wa Morogoro Innocent Kalogores akiangushwa jimbo la Morogoro kusini na nafasi yake kuchukuliwa na Mbena na aliyekuwa mbunge wa mikumi Abdusalam Ameir akiangushwa jimbo la Mikumi na nafasi hiyo kuchukuliwa na Jonas Estomih nkya.Chanzo http://www.eatv.tv/news

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...