Skip to main content

Prof. Lipumba ang'atuka rasmi kuwa mwenye kiti wa chama cha CUF


Prof. Ibrahim Lipumba amejiuzulu rasmi kuwa mwenye kiti wa chama cha CUF.
lipumba2
Lipumba ametangaza uamzi huo leo kwenye hotel ya Peacock,Dar es sa salaam, amesema hataki kuendelea kushiriki katika mambo yanayoendelea kwasababu kuna vitu vingi vimekiukwa. Hatua hiyo imekuja baada ya mkutano wake na waandishi wa habari kuhairishwa ghafla siku ya jana, Mbali na kujivua uwenyekiti Lipumba amesema ataendelea kuwa mwanachama wa CUF.

Comments