Skip to main content

MAGUFULI AINGIA MKOA WA NJOMBE LEO NA KUAHIDI MAENDELEO MKOANI HUMO


 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa kijiji cha Kikondo kata ya Ilungu Mbeya vijijini akiwa njiani kuelekea mkoa wa Njombe .
 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa kijiji cha Ujuni Makete mkoani Njombe .
 Mwenyekiti wa Shirikisho la vyama vya Watu wenye ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) Amon Anastaz Mpanju akisalimia wakazi wa Iwawa kwenye mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika stendi ya Mabehewani Makete.
 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Ikonda  kata ya Tandala ambapo aliahidi kumaliza matatizo ya msingi ya wananchi hao ikiwa kujengwa kwa barabara ya lami, kujenga visima vya maji, elimu bure mpaka kidato cha nne.
 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Wanging'ombe mkoani Njombe kwenye mkutano wa Kampeni za CCM ambapo leo ameingia mkoa wa tatu.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula (kushoto) akiwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Njombe Ndugu Deo Sanga na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mhe. Wiliam Lukuvi  wakimsikiliza Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli kwenye mkutano wake katika wilaya ya Wanging'ombe.
 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akimkabidhi mgombea Ubunge wa Jimbo la Wanging'ombe  Eng.Gerson Lwenge ilani ya uchaguzi ya CCM

 Mhe. Pindi Chana akiwasalimu wakazi wa Wanging'ombe
 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiagana na wagombea wa nafasi ya udiwani wa jimbo la Wanging'ombe mkoani Njombe.
 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwaaga wananchi wa wanging'ombe.
 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli (kulia) akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mhe.Philip Mangula

 .Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mhe. Wiliam Lukuvi akihutubia wakazi wa njombe mjini kwenye uwanaja wa Saba Saba.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mhe. Philip Mangula akihutubia wakazi wa Njombe mjini kwenye mkutano wa kumnadi mgombea urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Njombe kwenye uwanja wa sabasaba ambapo aliwahakikishia serikali yake itakuwa ya wachapa kazina kuelta maendeleo kwa wananchi.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Njombe kwenye uwanja wa sabasaba ambapo aliwahakikishia serikali yake itakuwa ya wachapa kazina kuelta maendeleo kwa wananchi.
Waziri wa Afrika Mashariki Dk. Harrison Mwakyembe akihutubia wakazi wa Njombe kwenye uwanja wa saba saba na kuwataka kuwa makini na viongozi wa kisiasa wanao walaghai wananchi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.