Skip to main content

EU yatoa Euro bilioni 2.4 kwa nchi zinazowapokea wahamiaji

Wahamiaji walionusurika katika ajali ya kuzama kwa meli waliokuwemo wakiwasili katika mji wa Palermo, Sicily, wakiwa katika meli ya kijeshi ya Ireland Niamh, Agosti 6 mwaka 2015.
Tume ya Ulaya imetangaza Jumatatu wiki hii kutoa Euro bilioni 2.4 kwa nchi zinazowapokea wahamiaji. Msaada huu kwa nchi wanachama 19 umepangwa kwa kipindi cha mwaka 2014 hadi 2020.
Kama tangazo hili sio majibu ya moja kwa moja kwa ombi la msaada lililotolewa wiki iliyopita na Ugiriki pamoja na Italia, ni hatua ya kuzisaidia nchi zinazokabiliana na ongezeka kubwa la watu wanaotafuta hifadhi ya ukimbizi.
Kwa tangazo hili, Tume ya Ulaya imehalalisha mipango 23 ya kitaifa katika suala la usimamizi wa ongezeko la uhamiaji. Fedha hizi, ziliyopangwa kwa kipindi cha mwaka 2014 hadi 2020, zitasaidia nchi nyingi zilioathirika na ongezeko la watu wanaotafuta hifadhi ya ukimbizi. Italia itapewa Euro milioni 560, na Ugiriki itapewaEuro milioni 473. Lakini nchi nyingine wanachama ambazo zinakabiliwa na hali hii pia na tatizo hili pia zitanufaika na fedha hizo za Ulaya. Uhispania, Sweden au Bulgaria ni miongoni mwa nchi hizo.CHANZO:RFI KISWAHILI
IMECHOTWA KWENYE MTANDAO NA VICTOR SIMON
Zoezi la kutolewa kwa fedha hizo na Tume ya Ulaya lilianza Machi na linatarajiwa kuendelea katika majuma yajayo. Njia hizi, zilizotokana na taratibu mbili za Ulaya, zina malengo tofauti. Lengo la wanza unakuja kusaidia nchi wanachama ili kuboresha uwezo wao wa mapokezi na ushirikiano kwa watu wanaotafuta hifadhi ya ukimbizi. Lengo la pili linatilia mkazo umakini juu ya masuala ya usalama, ikiwa ni pamoja na kuboresha usimamizi na ufuatiliaji wa mipaka. Lakini fedha hizi pia zitasaidia kupambana dhidi ya ugaidi na aina zote za usalama barabarani.
Kwa tangazo hili, Tume ya Ulaya imsema inataka kuendesha kazi hii kwa moyo wa mshikamano. Moja ya njia ya kuzikumbusha nchi wanachama kuzingatia majukumu yao.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...