Skip to main content

EU yatoa Euro bilioni 2.4 kwa nchi zinazowapokea wahamiaji

Wahamiaji walionusurika katika ajali ya kuzama kwa meli waliokuwemo wakiwasili katika mji wa Palermo, Sicily, wakiwa katika meli ya kijeshi ya Ireland Niamh, Agosti 6 mwaka 2015.
Tume ya Ulaya imetangaza Jumatatu wiki hii kutoa Euro bilioni 2.4 kwa nchi zinazowapokea wahamiaji. Msaada huu kwa nchi wanachama 19 umepangwa kwa kipindi cha mwaka 2014 hadi 2020.
Kama tangazo hili sio majibu ya moja kwa moja kwa ombi la msaada lililotolewa wiki iliyopita na Ugiriki pamoja na Italia, ni hatua ya kuzisaidia nchi zinazokabiliana na ongezeka kubwa la watu wanaotafuta hifadhi ya ukimbizi.
Kwa tangazo hili, Tume ya Ulaya imehalalisha mipango 23 ya kitaifa katika suala la usimamizi wa ongezeko la uhamiaji. Fedha hizi, ziliyopangwa kwa kipindi cha mwaka 2014 hadi 2020, zitasaidia nchi nyingi zilioathirika na ongezeko la watu wanaotafuta hifadhi ya ukimbizi. Italia itapewa Euro milioni 560, na Ugiriki itapewaEuro milioni 473. Lakini nchi nyingine wanachama ambazo zinakabiliwa na hali hii pia na tatizo hili pia zitanufaika na fedha hizo za Ulaya. Uhispania, Sweden au Bulgaria ni miongoni mwa nchi hizo.CHANZO:RFI KISWAHILI
IMECHOTWA KWENYE MTANDAO NA VICTOR SIMON
Zoezi la kutolewa kwa fedha hizo na Tume ya Ulaya lilianza Machi na linatarajiwa kuendelea katika majuma yajayo. Njia hizi, zilizotokana na taratibu mbili za Ulaya, zina malengo tofauti. Lengo la wanza unakuja kusaidia nchi wanachama ili kuboresha uwezo wao wa mapokezi na ushirikiano kwa watu wanaotafuta hifadhi ya ukimbizi. Lengo la pili linatilia mkazo umakini juu ya masuala ya usalama, ikiwa ni pamoja na kuboresha usimamizi na ufuatiliaji wa mipaka. Lakini fedha hizi pia zitasaidia kupambana dhidi ya ugaidi na aina zote za usalama barabarani.
Kwa tangazo hili, Tume ya Ulaya imsema inataka kuendesha kazi hii kwa moyo wa mshikamano. Moja ya njia ya kuzikumbusha nchi wanachama kuzingatia majukumu yao.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...