Skip to main content

EU yatoa Euro bilioni 2.4 kwa nchi zinazowapokea wahamiaji

Wahamiaji walionusurika katika ajali ya kuzama kwa meli waliokuwemo wakiwasili katika mji wa Palermo, Sicily, wakiwa katika meli ya kijeshi ya Ireland Niamh, Agosti 6 mwaka 2015.
Tume ya Ulaya imetangaza Jumatatu wiki hii kutoa Euro bilioni 2.4 kwa nchi zinazowapokea wahamiaji. Msaada huu kwa nchi wanachama 19 umepangwa kwa kipindi cha mwaka 2014 hadi 2020.
Kama tangazo hili sio majibu ya moja kwa moja kwa ombi la msaada lililotolewa wiki iliyopita na Ugiriki pamoja na Italia, ni hatua ya kuzisaidia nchi zinazokabiliana na ongezeka kubwa la watu wanaotafuta hifadhi ya ukimbizi.
Kwa tangazo hili, Tume ya Ulaya imehalalisha mipango 23 ya kitaifa katika suala la usimamizi wa ongezeko la uhamiaji. Fedha hizi, ziliyopangwa kwa kipindi cha mwaka 2014 hadi 2020, zitasaidia nchi nyingi zilioathirika na ongezeko la watu wanaotafuta hifadhi ya ukimbizi. Italia itapewa Euro milioni 560, na Ugiriki itapewaEuro milioni 473. Lakini nchi nyingine wanachama ambazo zinakabiliwa na hali hii pia na tatizo hili pia zitanufaika na fedha hizo za Ulaya. Uhispania, Sweden au Bulgaria ni miongoni mwa nchi hizo.CHANZO:RFI KISWAHILI
IMECHOTWA KWENYE MTANDAO NA VICTOR SIMON
Zoezi la kutolewa kwa fedha hizo na Tume ya Ulaya lilianza Machi na linatarajiwa kuendelea katika majuma yajayo. Njia hizi, zilizotokana na taratibu mbili za Ulaya, zina malengo tofauti. Lengo la wanza unakuja kusaidia nchi wanachama ili kuboresha uwezo wao wa mapokezi na ushirikiano kwa watu wanaotafuta hifadhi ya ukimbizi. Lengo la pili linatilia mkazo umakini juu ya masuala ya usalama, ikiwa ni pamoja na kuboresha usimamizi na ufuatiliaji wa mipaka. Lakini fedha hizi pia zitasaidia kupambana dhidi ya ugaidi na aina zote za usalama barabarani.
Kwa tangazo hili, Tume ya Ulaya imsema inataka kuendesha kazi hii kwa moyo wa mshikamano. Moja ya njia ya kuzikumbusha nchi wanachama kuzingatia majukumu yao.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.