Skip to main content

Posts

Showing posts from October, 2017

MKUU WA MKOA DAR ES SALAAM AMEFANYA ZIARA KWA WAHANGA WA MAFURIKO

 Mkuu wa mkoa waDar es Salaam, Paul Makonda(katikati) pamoja na mkuu wa wilaya ya kinondoni(kushoto)  Mh.Makonda pamoja na mkuu wa wilaya ya ilala Sophia Mjema(kushoto) wakati wakifanya ziara Maeneo ya Jangwani jijini Dar es Salaam. Picha zikionyesha hali na jinsi Mvua ilivyosababisha maafa Maeneo aliyofanya Ziara hiyo.   Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa PAUL MAKONDA leo amefanya Ziara ya kukagua miundombinu iliyoathiriwa na Mafuriko yaliyotokana na Mvua zinazoendelea kunyesha na kusema Serikali itakarabati mara moja miundombinu yote iliyoathiriwa na Mvua. Katika ziara hiyo  MAKONDA  ameambatana na Kamati ya Maafa ya Mkoa ambapo wametembelea maeneo mbalimbali yaliyoathiriwa na Mvua ikiwemo Jangwani, Daraja la Malecela,Daraja la Korongo, Daraja la Tandale kwa Mtogore, Africana na Boko Basihaya na kutoa pole kwa Wahanga. Aidha Makonda amewataka Wananchi waliojenga kwenye maeneo hatarishi kuchukuwa tahadhari mapema kwakuwa Wataalamu w

KAZI KWELI KWELI UDIWANI WA CCM WAREJESHA FOMU DAR

Wagombea Udiwani wa CCM katika Uchaguzi wa marudio katika Kata ya Saranga Wilayani Ubungo na Kata ya Kijichi wilayani Temeke leo wamerudisha fomu zao kwa wasimamizi wa uchaguzi katika kata hizo kwa kishondo huku wakisindikizwa na viongozi kadhaa ya wa CCM wakiongozwa ana Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Saad Kusilawe. Pichani, Mgombea wa CCM katika Kata Saranga, Manispaa ya Ubungo Haroun Mdoe akimkabidhi fomu yake Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wa Kata hiyo Dandasi Kijo kwenye Ofisi ya Afisa Mtendaji kata ya Saranga, leo. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Saad Kusilawe na kulia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ubungo Lucas Mgonja.  Waendesha bodaboda wakiwa kwenye msafara kumsindikiza mgombea Udiwani kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi wa marudio Kata ya Saranga, leo  Mashabiki wa CCM wakiwa kwenye bajaji kwenye msafara kumsindikiza mgombea Udiwani kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi wa marudio Kata ya Saranga, leo  Masafara wa baadhi ya vio

ORODHA YA KWANZA YA WANAFUNZI WALIOPATA MIKOPO YA ELIMU YA JUU HESLB MWAKA WA MASOMO 2017/2018

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu  (HESLB)  imesema baada ya uchambuzi wa maombi ya mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo  2017/2018 , orodha ya awamu ya kwanza yenye  wanafunzi 10,196  wa mwaka wa kwanza waliopangiwa mikopo imekamilika. Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Abdul-Razaq Badru katika taarifa kwa umma iliyotolewa leo Jumatano Oktoba 18,2017 amesema Sh34.6 bilioni zimetengwa kwa ajili ya wanafunzi hao 10,196. Amesema kwa jumla Sh108.8 bilioni zitatolewa kwa wanafunzi 30,000 wa mwaka wa kwanza kwa mwaka wa masomo 2017/2018. Amesema orodha nyingine (batches) zitafuata kwa kadri utaratibu wa udahili na uchambuzi unavyokamilika. Badru amesema orodha ya awamu ya kwanza inapatikana kwenye tovuti ya Bodi ya Mikopo http://www.heslb.go.tz/ na itatumwa kwa vyuo husika. AU BONYEZA  < >   KUDOWNLOAD MAJINA YOTE 10,196 PDF<<

SHIRIKA LA HAKI ELIMU YASHIRIKIANA NA JAMII KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU JAMII POSTED ON FRIDAY, 27 OCTOBER 2017 05:10 WRITTEN BY MJENGWABLOG Email Add new comment Rate this item1 2 3 4 5 (0 votes) Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali la Haki Elimu nchini John Kalage akipanda mti katika maadhmisho ya wiki ya huduma kwa jamii iliyoambatana na upandaji wa miti na utunzaji wa mazingira katika shule ya sekondari ya Mukulat iliyopo Mkoani Arusha shughuli iliyohudhuriwa na wafanyakazi wa shirika hilo ,wazazi na wadau wa elimu jana (Habari Picha Na Pamela Mollel,Arusha) Wafanyakazi wa shirika la Haki Elimu nchini wakiongozwa na Mkurugenzi wao John Kalage wa tatu kushoto, wakichimba shimo kwaajili ya kuhifadhi taka ngumu katika shule ya Sekondari Mukulat katika maadhimisho ya wiki ya huduma kwa jamii Wafanyakazi wa shirika la Haki Elimu nchini wakijiandaa kwenda kupaka rangi madarasa katika shule ya Sekondari Mukulat katika maadhimisho ya wiki ya huduma kwa jamii Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali la Haki Elimu nchini John Kalage akipongezwa na Mkuu wa shule hiyo Vitalis Nada mara baada ya kumaliza zoezi la upandaji miti katika shule hiyo jana Mmoja wa wazazi shuleni hapo akishiriki zoezi la umwagiliaji wa maua katka maadhimisho ya huduma kwa jamii iliyoratibiwa na Shirika na Haki Elimu Wafanyakazi wa Haki Elimu wakiwa wananendelea na zoezi la upakaji rangi shule hapo jana Aliyeshika ndoo nyekundu ni Abraham Lazaro kutoka Idara ya Habari na uchechemuzi akiwa na mfanyakazi mwenzake wakiendelea na zoezi la umwagiliaji katika shule ya sekondari ya mukulati iliyopo Mkoani Arusha katika maadhmisho ya wiki ya huduma kwa jamii Mwanafunzi shuleni hapo akiwa amebeba ndoo kwaajili ya kubebea maji kwaajili ya shughuli ya umwagiliaji shuleni hapo jana Meneja Idara ya Huduma, fedha na Utawala Daniel Luhamo akichimba shimo la kuhifadhia taka ngumu shuleni hapo

 Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali la  Haki Elimu nchini John Kalage akipanda mti katika maadhmisho ya wiki ya huduma kwa jamii iliyoambatana na upandaji wa miti na utunzaji wa mazingira katika shule ya sekondari ya Mukulat iliyopo Mkoani Arusha shughuli iliyohudhuriwa na wafanyakazi wa shirika hilo ,wazazi na wadau wa elimu jana (Habari Picha Na Pamela Mollel,Arusha)  Wafanyakazi wa shirika la Haki Elimu nchini wakiongozwa na Mkurugenzi wao John Kalage wa tatu kushoto, wakichimba shimo kwaajili ya kuhifadhi taka ngumu katika shule ya Sekondari Mukulat katika maadhimisho ya wiki ya huduma kwa jamii Wafanyakazi wa shirika la Haki Elimu nchini wakijiandaa kwenda kupaka rangi madarasa katika shule ya Sekondari Mukulat katika maadhimisho ya wiki ya huduma kwa jamii   Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali la  Haki Elimu nchini John Kalage akipongezwa na Mkuu wa shule hiyo Vitalis Nada mara baada ya kumaliza zoezi la upandaji miti katika shule hiyo jana

Africa: Official Endorsement and Participation from Morocco’s Minister of Energy, Mines and Sustainable Development at Energy Conferences in Casablanca Next Month

News Release - APO   no-reply@apo-wire.com   via  sendgrid.net  Oct 25 (2 days ago) to  News If you cannot read that message  click here. APO Group content is  copyright free  and can be republished at will. PRESS RELEASE Official Endorsement and Participation from Morocco’s Minister of Energy, Mines and Sustainable Development at Energy Conferences in Casablanca Next Month The Honourable Minister Rabbah will open the conferences with a keynote speech, going on to explore potential financing bottlenecks in Morocco’s gas and renewable energy strategy LONDON, United Kingdom, October 25, 2017/ -- The Kingdom of Morocco’s Ministry of Energy, Mines and Sustainable Development has confirmed support for two conferences focusing on gas and renewables in Casablanca this November. With confirmed participation from Honourable Minister Aziz Rabbah, the North & West Africa Gas Options Conference will ass

Africa: Training workshop for the first cohort of the Pan African Local Government Peer Review Team

News Release - APO   no-reply@apo-wire.com   via  sendgrid.net  2:41 PM (1 hour ago) to  News If you cannot read that message  click here. APO Group content is  copyright free  and can be republished at will. PRESS RELEASE Training workshop for the first cohort of the Pan African Local Government Peer Review Team The Pan African Peer Review Program ambitions to bring a local and territorial perspective to the African Peer Review Mechanism of the African Union Egalement disponible en Français RABAT, Morocco,  October 27, 2017 / -- The United Cities and Local Governments of Africa (UCLG Africa) ( www.AfriqueLocale.org/en ) shall organize from  1 to 2 November 2017  at Rive Hotel (Rabat, Morocco), a training workshop for the first cohort of the members of Pan African Local Government Peer Review Team. The Pan African Peer Review Program is set up by UCLG Africa to allow self assessment and peer