Skip to main content

CCM MKURANGA CHAPATA VIONGOZI WAPYA

 




CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mkuranga kimepata viongozi wapya wataongoza chama hicho kwa kipindi cha miaka mitano katika uchaguzi uliofanyika jana.

Katika nafasi ya Mwenyekiti Wilaya imechukuliwa na Ally Msikamo kwa kura 749 baada ya kuwashinda wagombea wawili , Abdallah Kihato kura 189 na Mbaraka Mahanaka kura 44.

Nafasi ya katibu Mwenezi Wilaya imechuliwa na Ben Mkulia kwa kura 89 na kuwabwaga wagombea wawili , Mchowi aliyepata kula 22 na Ali Ngalema kula Saba (7).

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya Mkuranga , Ali Msikamo amesema kuwa uchaguzi umeisha na kilechobaki ni kufanya kazi katika ya kuendesha chama katika kumsaidia Rais Dk. John Pombe Magufuli.

Amesema kazi ya chama kazi ya chama wilaya kuishauri serikali katika kusaidia chama kuendelea kushika dola ikiwemo na maandalizi ya uchaguzi mkuu.

Mbunge wa Mkuranga, Abdallah Ulega amesema kuwa uteuzi wa Naibu Waziri umetokana na wananchi wa Mkuranga na sio ujanja wake mwenyewe ndio uliomfanya aonekane.

Amesema kuwa maendeleo ya Chama na Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kuandaliwa mkutano utaohusisha wajumbe wote kuangalia walikotoka na wanako elekea.
 Mwenyekiti mpya wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mkuranga, Ali Msikamo akiwashukuru wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa Wilaya  kwa kumpa ridhaa ya kuongoza chama hicho kwa kipindi cha miaka miatano.
 Mbunge wa Mkuranga , Abdallah Ulega alieapishwa leo kuwa Naibu Waziri wa Uvuvi na Mifugo, akizungumza katika mkutano mkuu wa uchaguzi wa Wilaya ya Mkuranga.
 Sehemu ya viongozi wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi.
Picha mbalimbali za uchaguzi Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga
Picha zote na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...