Skip to main content

MKUU WA MKOA DAR ES SALAAM AMEFANYA ZIARA KWA WAHANGA WA MAFURIKO


 Mkuu wa mkoa waDar es Salaam, Paul Makonda(katikati) pamoja na mkuu wa wilaya ya kinondoni(kushoto)
 Mh.Makonda pamoja na mkuu wa wilaya ya ilala Sophia Mjema(kushoto) wakati wakifanya ziara Maeneo ya Jangwani jijini Dar es Salaam.



Picha zikionyesha hali na jinsi Mvua ilivyosababisha maafa Maeneo aliyofanya Ziara hiyo.

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa PAUL MAKONDA leo amefanya Ziara ya kukagua miundombinu iliyoathiriwa na Mafuriko yaliyotokana na Mvua zinazoendelea kunyesha na kusema Serikali itakarabati mara moja miundombinu yote iliyoathiriwa na Mvua.

Katika ziara hiyo  MAKONDA  ameambatana na Kamati ya Maafa ya Mkoa ambapo wametembelea maeneo mbalimbali yaliyoathiriwa na Mvua ikiwemo Jangwani, Daraja la Malecela,Daraja la Korongo, Daraja la Tandale kwa Mtogore, Africana na Boko Basihaya na kutoa pole kwa Wahanga.

Aidha Makonda amewataka Wananchi waliojenga kwenye maeneo hatarishi kuchukuwa tahadhari mapema kwakuwa Wataalamu wa hali ya Hewa wametangaza kuwa Mvua kubwa zitaendelea kunyesha. Kwanzia November Mosi mwaka huu.

Amesema kuwa Ujenzi wa Miundombinu iliyoharibiwa ikiwemo ya Maji,Umeme,Mitaro, Barabara na Madaraja inaendelea kurekebishwa ambapo katika Daraja la Malecela ameagiza kujengwa Daraja la Muda mfupi na  Vijana kutoka Jeshi la Wananchi.

 Amesema  zaidi ya Shilingi Billion Moja zimetolewa na Bank ya Dunia kwaajili ya Maboresho ya eneo la Jangwani ambapo  Serikali ya Mkoa ina vifaa vya kutosha kwaajili kuokoa Wananchi.

Amesema katika mto Ng'ombe uliopo Tandale kwa mtogole utajegwa na wanaopaswa kulipwa fidia watalipwa kulingana na Maeneo yao.

Pia ameongeza  kuwa miongoni mwa Sababu zilizopelekea Maji ya mvua kukosa mwelekeo ni Ujenzi holela, Uchimbaji wa Mchanga na watu kutupa taka hovyo kwenye Mito.

Miongoni mwa Wilaya alizotembelea ni pamoja na Ilala, Ubungo na Kinondoni ambapo kuna Nyumba zaidi ya 200 zipo kwenye mazingira hatarishi na kuwataka wananchi kuchukua tahadhari mapema kwani kinga ni bora kuliko tiba.Chanzo kimoja kimeripoti.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...