Skip to main content

Posta kutoa msaada wa matibabu kwa watoto wanne





SHIRIKA la Posta  limesema litatoa msaada wa matibabu kwa watoto wawawili wanaohitaji msaada wa matibabu katika hospitali ya Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo katika Hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam. 

l

Pichani ni  Mkuu wa Posta nchini Deogratius Kwiyukwa akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam juzi kuelekea maadhimisho ya Posta Duniani. 

Hiyo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Posta nchini Deogratius Kwiyukwa juzi alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mahazimisho ya kushehelekea siku ya kuzaliwa Umoja wa Mashirika ya Posta Duniani Oktoba 9 mwaka huu. 



Alisema siku hiyo ilianza kuadhishwa kwa mara ya kwanza katika mkutano Mkuu wa wanachama wa umoja huo mwaka 1969 baa da ya makubaliano yaliyofanyika mwaka huo mjini Tokyo Japan. 

"Kupitia Mkurugenzi huyo wa Umoja wa Posta Duniani, kila mwaka hutoa ujumbe maalum kwa nchi zote wanachama ambao nia yake ni kuchochea maendeleo kwa kuonesha mwelekeo wa huduma za Posta kwa dunia ya sasa,"alisema Deogratius. 

Deogratius  alisema maadhimisho ya Posta Duniani huambatana na shughuli mbali mbali za kijamii kama vile kutoa misaada kwa jamii na kwa wasio jiweza. 

Aidha alisema Kuwa Shirika la Posta Tanzania mwaka huu mbali na kusoshiriki katika kuelimisha Umma juu ya shughuli mbali mbali kupitia vyombo vya habari wameweza kuwaalika wanafunzi  kutoka shale za msingi  ili kuwaelimisha juu ya juu ya shughuli za Posta. 

Pia Mkurugenzi huyo alisema shirika litaendelea kuunganisha mfumo wa mawasiliano ambao ni on-line katika ofisi zote za Posta nchini ili kutoa huduma kwa ufanisi zaidi ,kuongeza idadi ya wateja na kuondoa uchelewesho na kupunguza malala miko. 


Alisema kwa hivi sasa vimeisha unganishwa vituo 114 na vingine 15 vitaunganishwa kabla ya mwisho wa mwaka huu. 

Deogratius alisema shirika limeweka msukumo na ushawishi maalum katika uanzishwaji wa vituo hivyo ilikuwezesha huduma za utawala serikalini kufanyika katika sehemu moja ikiwa ni pamoja na ulipaji ulipaji wa kodi na ada mbali mbali na kwa ujumla Kuwashirikisha wananchi katika uendeshwaji wa shughuli za serikali yao. 

Shirika la Posta nchini limejipambanua katika muktadha huo likiwa limelenga kusimamia miundo mbinu mipya ya kiteknlojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) hususan malipo mtambuka ambapo miundo mbinu hiyo itaboresha huduma zinazotolewa sasa na nyingine za kiselikari.



Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.