Skip to main content

Posta kutoa msaada wa matibabu kwa watoto wanne





SHIRIKA la Posta  limesema litatoa msaada wa matibabu kwa watoto wawawili wanaohitaji msaada wa matibabu katika hospitali ya Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo katika Hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam. 

l

Pichani ni  Mkuu wa Posta nchini Deogratius Kwiyukwa akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam juzi kuelekea maadhimisho ya Posta Duniani. 

Hiyo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Posta nchini Deogratius Kwiyukwa juzi alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mahazimisho ya kushehelekea siku ya kuzaliwa Umoja wa Mashirika ya Posta Duniani Oktoba 9 mwaka huu. 



Alisema siku hiyo ilianza kuadhishwa kwa mara ya kwanza katika mkutano Mkuu wa wanachama wa umoja huo mwaka 1969 baa da ya makubaliano yaliyofanyika mwaka huo mjini Tokyo Japan. 

"Kupitia Mkurugenzi huyo wa Umoja wa Posta Duniani, kila mwaka hutoa ujumbe maalum kwa nchi zote wanachama ambao nia yake ni kuchochea maendeleo kwa kuonesha mwelekeo wa huduma za Posta kwa dunia ya sasa,"alisema Deogratius. 

Deogratius  alisema maadhimisho ya Posta Duniani huambatana na shughuli mbali mbali za kijamii kama vile kutoa misaada kwa jamii na kwa wasio jiweza. 

Aidha alisema Kuwa Shirika la Posta Tanzania mwaka huu mbali na kusoshiriki katika kuelimisha Umma juu ya shughuli mbali mbali kupitia vyombo vya habari wameweza kuwaalika wanafunzi  kutoka shale za msingi  ili kuwaelimisha juu ya juu ya shughuli za Posta. 

Pia Mkurugenzi huyo alisema shirika litaendelea kuunganisha mfumo wa mawasiliano ambao ni on-line katika ofisi zote za Posta nchini ili kutoa huduma kwa ufanisi zaidi ,kuongeza idadi ya wateja na kuondoa uchelewesho na kupunguza malala miko. 


Alisema kwa hivi sasa vimeisha unganishwa vituo 114 na vingine 15 vitaunganishwa kabla ya mwisho wa mwaka huu. 

Deogratius alisema shirika limeweka msukumo na ushawishi maalum katika uanzishwaji wa vituo hivyo ilikuwezesha huduma za utawala serikalini kufanyika katika sehemu moja ikiwa ni pamoja na ulipaji ulipaji wa kodi na ada mbali mbali na kwa ujumla Kuwashirikisha wananchi katika uendeshwaji wa shughuli za serikali yao. 

Shirika la Posta nchini limejipambanua katika muktadha huo likiwa limelenga kusimamia miundo mbinu mipya ya kiteknlojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) hususan malipo mtambuka ambapo miundo mbinu hiyo itaboresha huduma zinazotolewa sasa na nyingine za kiselikari.



Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...