Skip to main content

MKurugenzi halimashauri Mbulu mitazamo ya (ALAT)


Pichani ni Mkurugenzi wa halimashauri ya Mbulu Hudson Kamoga akiwa Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Conversation Centre ulipo
 fanyika mkutano huo wa  (ALAT )Dar es Salaam. 
MKurugenzi wa halimashauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara Hudson Kamoga amesema kuwa agenda za mkutano wa 33 wa Jumuiya ya tawala za Mitaa nchini  (ALAT) uliofanyika hivikaribuni Dar es Salaam na kufunguliwa na mgeni rasmi mwenye dhamana ya serikali Rais John Pombe Magufuli ulikua na tija.


Hayo yamesemwa na Kamoga jijini Dar es Salaam sikuchache zilizopita ambapo alisema kaulimbiu ya mkutano ilizingatia kuunga mkono jitihada za serikali ya awamu ya tano kuhusu sekta ya viwanda.


Alisema wakati wa mkutano huo waliweza kukutana na viongozi mbali mbali nakujadiliana na kukamilishana mawazo kwani miongoni mwa walikuwa wakitoka maeneo ya mjini na vijijini na kuzungumzia changa moto mbali mbali.

"Anampongeza Rais Magufuli kauli zake alizozitoa katika ufunguzi wa mkutano huo kwani  zina lengo la kuijenga taifa katika kufikia uchumi wa viwanda ,"alisema Kamoga.

Alisema mkutano huo wa 33 ulikuwa kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa mamlaka za serikali za mitaa  (ALAT ).

Ajenda za mkutano huo zilikua ni pamoja na kupisha mipango na bajeti ya Jumuiya kwa mwaka wa fedha 2017 na 18 na kujadiliana hasa fursa na changa moto katika uendeshwaji wa mamlaka za mita.






Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.