Skip to main content

MKurugenzi halimashauri Mbulu mitazamo ya (ALAT)


Pichani ni Mkurugenzi wa halimashauri ya Mbulu Hudson Kamoga akiwa Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Conversation Centre ulipo
 fanyika mkutano huo wa  (ALAT )Dar es Salaam. 
MKurugenzi wa halimashauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara Hudson Kamoga amesema kuwa agenda za mkutano wa 33 wa Jumuiya ya tawala za Mitaa nchini  (ALAT) uliofanyika hivikaribuni Dar es Salaam na kufunguliwa na mgeni rasmi mwenye dhamana ya serikali Rais John Pombe Magufuli ulikua na tija.


Hayo yamesemwa na Kamoga jijini Dar es Salaam sikuchache zilizopita ambapo alisema kaulimbiu ya mkutano ilizingatia kuunga mkono jitihada za serikali ya awamu ya tano kuhusu sekta ya viwanda.


Alisema wakati wa mkutano huo waliweza kukutana na viongozi mbali mbali nakujadiliana na kukamilishana mawazo kwani miongoni mwa walikuwa wakitoka maeneo ya mjini na vijijini na kuzungumzia changa moto mbali mbali.

"Anampongeza Rais Magufuli kauli zake alizozitoa katika ufunguzi wa mkutano huo kwani  zina lengo la kuijenga taifa katika kufikia uchumi wa viwanda ,"alisema Kamoga.

Alisema mkutano huo wa 33 ulikuwa kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa mamlaka za serikali za mitaa  (ALAT ).

Ajenda za mkutano huo zilikua ni pamoja na kupisha mipango na bajeti ya Jumuiya kwa mwaka wa fedha 2017 na 18 na kujadiliana hasa fursa na changa moto katika uendeshwaji wa mamlaka za mita.






Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...