Skip to main content

MKurugenzi halimashauri Mbulu mitazamo ya (ALAT)


Pichani ni Mkurugenzi wa halimashauri ya Mbulu Hudson Kamoga akiwa Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Conversation Centre ulipo
 fanyika mkutano huo wa  (ALAT )Dar es Salaam. 
MKurugenzi wa halimashauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara Hudson Kamoga amesema kuwa agenda za mkutano wa 33 wa Jumuiya ya tawala za Mitaa nchini  (ALAT) uliofanyika hivikaribuni Dar es Salaam na kufunguliwa na mgeni rasmi mwenye dhamana ya serikali Rais John Pombe Magufuli ulikua na tija.


Hayo yamesemwa na Kamoga jijini Dar es Salaam sikuchache zilizopita ambapo alisema kaulimbiu ya mkutano ilizingatia kuunga mkono jitihada za serikali ya awamu ya tano kuhusu sekta ya viwanda.


Alisema wakati wa mkutano huo waliweza kukutana na viongozi mbali mbali nakujadiliana na kukamilishana mawazo kwani miongoni mwa walikuwa wakitoka maeneo ya mjini na vijijini na kuzungumzia changa moto mbali mbali.

"Anampongeza Rais Magufuli kauli zake alizozitoa katika ufunguzi wa mkutano huo kwani  zina lengo la kuijenga taifa katika kufikia uchumi wa viwanda ,"alisema Kamoga.

Alisema mkutano huo wa 33 ulikuwa kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa mamlaka za serikali za mitaa  (ALAT ).

Ajenda za mkutano huo zilikua ni pamoja na kupisha mipango na bajeti ya Jumuiya kwa mwaka wa fedha 2017 na 18 na kujadiliana hasa fursa na changa moto katika uendeshwaji wa mamlaka za mita.






Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...