Skip to main content

Posts

Showing posts from March, 2010

Umeona !!!!!!!!!!!!!!!

Mshindi wa Nitasoma :Hisome Hii

Wiki ya pili ya shindano la kitaaluma NITASOMA SCHOLARSHIP Promotionyapata mshindi Bwana Boniface Peter Mwaipopo, kutoka Chunya Mbeya. Mshindi huyo wapili toka shindano lilipanza rasmi 15.03.2010 alipatikanana kutanganzwa jana asubuhi.Mshindi wa kwanza Bwana Witnes Lucas toka Iringa (Tumaini University). Washindi hao wanaombwa kufika ofisi za 4Layers (T) ltd. zilizoko MsasaniDar es salaam kujichukulia zawadi zao.Au wapige simu 0765 232383 wawasiliane na meneja masoko wa 4layers (T)ltd. Zawadi nyingine kama vitabu va masomo, Laptop na scholarships ambazounaweza kujishindia kwa kutuma ujumbe mfupi wenye neno NITASOMA SEC (kwasekondari), NITASOMA HIGH (kwa Alevel) na NITASOMA UNI (kwa elimu ya juu)kwenda 15767. 4Layers (T) Ltd.P.O.Box 77901Dar es salaam.Masasani - Kimweri Rd.Plot 696 Block "F" 0765 232383 http://www.nitasoma.com/ http://www.nitasoma.blogspot.com/

Ni Ukali wa Twanga Kiwanja Cha Billiz

NI hapa tuko full Bata , wakwanza kutpka kushoto ni mtoto wa hayati TX Mosh aliyekuwa nguli katika muziki wa dansi nchini akiwa na bendi ya Msondo Ngoma tulikuwa tukijiachia kwa kwenda mbele uku tukilichabo jukwaa la Twanga Pepeta Club Billz. TWANGA wakiwajibika katika majukumu yao katika usiku wa Jumatano iliyopita kiwanja cha Club Billicanas . NIPO na mdau nje ya club Billiz.

Mkuu Jumatano Twanga Huwa Wanatikisa Dar

TUKIWA katika raha za Muziki wa Twanga , tuliona tunalifresh kwa hewa ya nje ya kiwanja cha Club Billicanas jumatano iliyopita , baada ya kuwa timeshuhudia muziki huo mnne wa Twanga , wadau kibao huwa wanajichanganya kuwachabo wana Twanga wanaongara vilivyo katika muziki wa dansi Pichani wambele kabisa ni mimi Machoibya na kutoka kushoto ni Dj Venture tukiwa na wadau wengine katika pozzz.

T.I.D Akicheki stuation Nje katika Kiwanja cha Billz

MSANII nguli Khalid Mohammed T.I.D hua ni mdau sana wa muziki wa dansi , licha ya kuwa na bendi yake ya Top Band upendelea kujivinjali kiwanja cha Club Billz katika ya Jiji la Dar es Salaam siku za Jumatano umeipata hii , isitoshe huwa ni kawaida yake kupanda kuwatuza wanamuziki wenzake wa bendi ya Twanga Pepeta ambao ni kawaida yao kufanya mavituzii kila usiku huo wa Jumatano.

ZIFF KUJIKITA ZAIDI

Katika kuendeleza ZIFF mwaka huu , itazidi i kuleta awards mbalimbali ili kuboresha tamasha hilo . Regards Daniel Nyalusi Events and Film Program Coordinator Zanzibar International Film Festival.

Ni Pilika Pilika za Town

BIASHARA ya Mahindi ya kuchoma Mjini Dar es Salaam ni moja ya biashara zinazofanyika kwa nyakati tofauti tofauti katika maeneo ya mijini.

Hii Hisome Imekaa Vizuri ni LIFETIME ACHIEVEMENT AWARD

TANGANYIKA LAW SOCIETY CITATION OF PROFESSOR CHRIS MAINA PETER FOR THE LIFETIME ACHIEVEMENT AWARD Professor Peter is one of our most illustrious law professors at the University of Dar es Salaam (an alma mater for most of us). The majority of us who are in private practice today passed through the Faculty of Law of the University of Dar es Salaam. And a significant number were taught by him. Professor Peter has been a member of the Tanganyika Law Society for 26 years (1984 to date) He has practised law, mainly in pro bono cases. For over quarter of a century Professor Peter was a very active member of the University of Dar es Salaam Legal Aid Committee and later for almost a decade its chairman. During his tenure, hundreds of indigent clients were given legal advice on a weekly basis and many among them were given ‘first aid’ such as writing initial letters of claims or meeting opposite parties, including government functionaries, to resolve disputes. Besides, the committee ran regular

Cheki Fide akiwa Katika Mtoko wa Usiku

Mwana dada Fide akiwa katika poziiiii ndani ya disko la Flava Nite katika ukumbi wa Mzalendo Pub jumamosi usiku.

Gari Hili Limepaki Likiuza Bidhaa :Sayansi

NI eneo la Sayansi Dar es Salaam ambapo Kamera ya mwana blog ililikuta gari hili likiwa linauza bidhaa mbali mbali na zilionekana kuwa ni bidhaa freshi zimetulia kwa maitaji.

Babuuu Mzuka Ulishika Kasii Flava Nite Uku Basidai ya Boniluv ikitikisa

HUYU aliyeshika Chupa hiyo ndiye binti aliyejinyakulia Mvinyo baada ya kubuka mshindi katika setion ya muziki wa mduara katika disko la Flava Nite. HII ni kasi ya uchezaji kutokana na mpangilio mzima wa Dj Boniluv na Dj Mackay & Oscar. Keki ya basidai ya Bon ikikatwa. Othman Michuzi akilishwa keki na Dj Boniluv katikati ni mwana dada Sabah akitazama tukio hilo. DJ Muli -B kilishwa Keki. TUTA anza hivi ili mambo yaende poa.

Haya ni Mavazi yanayotoa Mng'aro wa Afrika

Haya mavazi niliyapiga picha katika Nyumba ya Sanaa Dar es Salaam. Ni mchoro niliopiga picha nyumba ya Saana.

Hiii Some Hii

High Definition (HD) TV in Africa takes another giant step forward this month (from Wednesday March 24) as DStv launches three brand new channels on its DStv Premium service. Alongside the recently launched entertainment channel M-Net HD, audiences can now tune in for SuperSport HD, Discovery HD Showcase and iConcerts HD. Available to DStv Premium subscribers who have an HD ready television and who access their DStv services through the technologically advanced HD PVR (Personal Video Recorder), the four channels symbolize DStv’s fast start when it comes to providing multiple HD channels to its subscribers. Commenting on the new HD channel launches, MultiChoice Africa President Collins Khumalo is confident in the role DStv will play in offering diversified viewing options for its African consumers. “As an African business which has long looked to the future for innovation, we’re confident that by offering these HD channels to our consumers we are bringing that future right into their ho

Groove Back la Waka Motooo...

WAMEJIACHIA kwenye Groove Back ni Mwisho Mwampamba wakwanza kulia akiwa na Tycoon Shah jamaa huyu anaujio wa albamu na sikuchache nitakueleza itakuwa na nyimbo ngapi. CHIEEF Lamso anayeonekana kuwa na nyere nyingi 'Muaandaaji wa Wap' akipiga stori na Dj Kelvin aliyevalia flana nyeusi ikiwa na maandiko meupe katika Groove Back jana alikuwa akishuudia ukali wa disko hilo. Hapa palitikisa kazi ni mabinti waliokuwa wakitibua shughuli nzima . MUDAU huyooo mwenye flana nyeupe aliamua kujiachia jana , mbona maumivu haya ya Dj Twisa mmm !! Walidada mpaka kuchizika . Ebu shika pochi nikuoneshe shughuli hapa . Dj Kelvin Twisa akiwashamoto jana usiku katika ukumbi wa Zhonghua Gardeni Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jana.

NI Soko Kuu karia Koo Dar es Salaam!!

HALI hii kiachwa kwa muda wa masaa kadhaa huwa ni hatari kwa afya ya mwanadamu. Wanyabiashara katika soko hilo uwajibika kutupa taka hapa ila , wanaona kero kubwa kama dampo hili lenye magurudumu ya kujongea , linapo kaa bila ya kuondoshwa kwa masaa .

Hatari Kijishimo Hiki !!

SHIMO hili ni hatari linaweza kusababisha hajari mbaya endapo hatua za dhati zisipochukuliwa kwani usalaba wa waendesha magari ni mdogo , ni barabara ya Lugoda Dar es Slaam.

Rais Kikwete Azindua Kitabu cha Historia ya Maisha ya Utumishi wa Umma

kitabu kinachohusu maisha ya mwanasiasa mkongwe Sir.George Kahama wakati wa hafla ya uzinduzi wa kitabu hicho uliofanyika jijini Dar es Salaam .Wengine katika picha kutoka kushoto ni Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamim Mkapa, Sir Geroge Kahama(wapili kushoto) na kulia ni Rais Mstaafu awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi .

washiriki miss utalii tanzania 2010 vyuo vikuu kanda ya kaskazini,shindano 30 April 2010 Palace Hotel

NI warembo wa Miss utalii wakiwa katika pozi hawa

Jana Makamuzi na Shangwe Mzalendo Pub Kwe ilikwa Basidai ya Mjomba!!!

DJ Rich Dilon akikamua sambamba na Dj Mackya jana katika usuku wa 'Flava Nite' ilikuwa hatari kwani mzukaaaa , pia ilifanyika Basidai ya Dj Boniluv (mjomba) mayank wa Town upenda kumwita jina hilo , basi shughuli ya makamuziii ilikuwa ndefu jana kulingana na siku ya kuzaliwa mkali huyo wa milazooooo.

Besidai ya Boniluv ya Tikisa Jana !!

BASIDAI ya Dj Bonluvu ilifanyika kwa shangwe nyingi uykuwadau takribani wote wakilishwa kweki , ilifanyika katika usiku wa disko la Flava Nite katika ukumbio wa Mzalendo Pub Jijini.

Mengi yanafanyika Hapa !!

HAPA katika mandhari ionekanayo ni nyumba ya Sanaa& Culture L.T.D kama bango linavyo elekeza . JAMAA hawa nimewakuta wakijifua katika nyumba hiyo. NIKIWA katika pozi lapicha na Bother Lutengano leo jioni kijua cha usoni kuzama , huyo Bro ni mtuwa mfano katika gemu la uchoraji wa sanaa na ameisha fanya mengi katika Sanaa hiyo anapatikana katika Nyumba hiyo kesho blog itaanza kuku kukumegea mengi machache aliyonayo Bro huyu. HAPA Lutengano nilimkuta kapozi baada ya kuwajibika jioni hii. JAMAA huyo alikuwa akifanya vitu vya kipekee sana .

Kaduguda na Kilonga Longa Chake Barabarani Leo

KATIBU Mkuu wa Wekundu wa Msimbazi Simba Sport Club Mhina Kaduguda akiwa anachanja mbuga leo asubuhi eneo laukumbi wa Club Billicanas katikati ya Jiji la Dar es Salaam uku akiongea na Kilonga longa chake sikioni.

Tunakukumbuka Sisi wanao Tangu Ututoke Baba yetu Munduka

Alexander Mabala Munduka Machi 29, 2010 umetimiza miaka mitatu(3) tangu ututoke kimwili. Baba yetu mpendwa, tunakukumbuka sana wanao Veronica, Elizabeth na Leonard, mke wako Merciana pia wazazi wako , dada, kaka na wadogo zako. Unakumbukwa na wakwe zako David na Marco, wajukuu zako Oprah na Mercy, ndugu, jamaa, marafiki na jirani zako pia. Daima tutakukumbuka kwa upendo wako, ucheshi na huruma. Tutaendelea kukukumbuka zaidi kwa ushauri wako kwetu sisi wanao. Baba tulikupenda ila Mwenyezi Mungu kakupenda zaidi. MUNGU AKUREHEMU BABA YETU ULALE MAHALI PEMA PEPONI, AMINA.

Tamasha la Michezo la Mbio za KM1 Lafanyika Uwanja wa Uhuru

WANAFUNZI wakishindana kujaza maji kwenye chupa wakati wa tamasha la Michezo lililofanyika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam leo. BALOZI wa Uingereza nchini Diane Corner kulia akiruhusu wakimbiaji wa mbio za KM 1waanze kukimbia katika mbio za tamasha la Michezo lililoandaliwa na British Council kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam leo.

Eneo Hili ni Bara Bara ya Hali Hassan Mwinyi :Victoria Dar

HALI ikiwa hivi kidogo mambo yanakuwa heri katika maeneo mengi ya bara bara nyingi Jijijini Dar.

Gari Hili lilikuwa Kero Kubwa Jioni Leo Barabara ya Ali Hassan Mwimnyi

GARI hili lilikuwa likipita ukulikirusha maji kutokana na kuwa mfuniko wake ulikuwa wazi , leo jioni liliweza kutibua kero nyingine kwa wenye magari madogo baada ya kuwa linarusha maji hayo katika barabara ya Ali Hassani Mwinyi.

HATARI SANA HII MSONGAMANO HUU SI MCHEZO!!

PANDE hizi ni eneo maarufu Jijini ambapo foleni uanza kujikita , ni eneo la Sayansi ukiwaunaelekea Mwenge , kwa sasa kwa nyakati tofauti kumekuwa na msongamano wa Magari yaendayo mwenge.

UKUNI KUVUJA JASHO KATIKA MAISHA

NILEO mtaa wa Livingstone Jijini Dar es Salaam , msukuma mkokoteni huyu akiwa na pilika pilika , zilizozoeleka kuonekana katika sehemu mbali mbali nchini , ambapo mtu uwajibika hipasavyo kuvuja jasho ilikupata chapaa ya kukimu maitaji yake.

Dar yapokea Pikipiki 100 toka China

PIKIPIKI 100 ambazo zimeletwa na meya wa jiji la Changzhou huko China walizoletwa kama zawadi kwa halmashauri ya jiji la dar zitatumika kwa halmashauri za ilala, temeke na kinondoni na pia chache zitapelekwa kituo cha polisi cha Urafiki kusaidia kazi.

Savanh Longe Jana Ilikuwa ni Mzuka

HAPA stori babuu zilikuwepo , jana tulikutana na mdau huyu. JAMA walijiajia mbaya , wako kwenye basidei uku wakisema tumechili , lakini tupo pamoja tunapenda kukaa kwenye viti virefu tunakumbushia baa za mtaani kwetu , wakwanza kutoka kulia anaitwa Mlumbi alikuwa kapozi na mshikaji wake katika ukumbi wa Savanh Longe ulikuwa na sherehe .

Matukio Haya yalijiri Savanh Longe Dar es Salaam

POZI ili wakanza kutoka kushoto ni mwana dada nguli wa muziki wa kufoka foka Witness , pozi ili litakuwa lulu mudau !! Aliuliza , nilimjibu poa mbona freshi tu. Ebwana shange sindio zilikuwa hivi , japo kuwa kulikuwa na dalili za watu kuwa tayari walishaingia katika akiliza usiku na macho ni dalili za akili hizo , nilimwambia Jamillah acha tu nilie keke. Fide ama Lady Gaga anayeonekana kuvalia vazi la rangi ya Blue kulia akiwa katika pilika pilika za basidei ya Jamillah mwenye vazi jeusi wakwanza kutoka kushoto iliyoanza saa 2:15 mpaka saa 4:00 katika ukumbi wa Savanh Longe maeneo ya Posta mpya katikati ya jiji la Dar es Salaam.