Skip to main content

Hii imetuli ni nitasoma.com

4Layers (T) Ltd ni miongoni mwa kampuni chache nchini ambayo inajihusisha na utoaji wa huduma hususani katika maswala ya Elimu.

mpango huu umeanza rasmi leo tarehe 15.03.2010 , huduma ambazo kampuni hii itatoa ni scholarship kwa mashule na vyuo taasisi zote za elimu ya juu kwa ujumla vilivyopo nchini, pili ni pamoja na kutoa ushauri wa kitaalam kwa wanafunzi juu ya kuchagua masomo kwa shule za sekondari pia kuelimishwa jinsi kujiunga na mashule au vyuo na vitengo mbalimbali vya elimu na ufundi, mafunzo katika kuandika barua ya kuomba kazi , muongozo kamili katika kuboresha elimu kwa ujumla huduma hii itawalenga wanafunzi kuanzia shule za sekondari, vyuo vya elimu ya juu na vyuo vikuu.

NITASOMA Annual Career day ni siku ambayo wanafunzi watakutana na wataalam maarufu nchini ana kwa ana na kujadiliana kuhusu ubora, umuhimu hata matatizo ya ufanisi katika sekta hizo mbalimbali. Kwa kipindi cha mwaka tunatarajia kusomesha bure wanafunizi 6 kwa muda wote wa masomo na kutoa zawadi za Laptop 12, vitabu vya masomo au vifaa vya masomo kwa wanafunzi 12, simu ya mkononi 1 kwa wiki zawadi hizi ni kwa wanafunzi wale watakaoshinda kupitia bahati nasibu maalum.

Wanafunzi watakaofaidika na mpango huu ni wale tu watakao tuma ujumbe mfupi wa simu NITASOMA SEC au NITASOMA HIGH kwa shule za sekondari au NITASOMA UNI kwa vyuo vikuu kwenda kwenye namba 15767 na ataingia katika mchakato huo kwa gharama ya shilingi ya kitanzania 500 tu.

Zawadi hizo zitatolewa kwa awamu yaani laptop moja kwa kila mwezi. Simu ya mkononi kila wiki na vitabu kila mwezi tukizingatia masharti na vigezo.

Napenda kukumbusha tena mpango huu wajamii utasaidia kuwapa nafasi wale walioshindwa kwenda kusoma ndani na nje ya nchi kupitia nafasi za serikali na kwa wanafunzi walioshindwa kuendelea kusoma kutokana na gharama za masomo. Pia mpango huu utasaidia wanafunzi walioshindwa kupata nafasi ya kusoma kutokana na ushindani wa alam au nafasi maalum na wanafunzi wengine.

Kuhusiana na utaratibu wamalipo, 4 Layers (T) Ltd Tuition Management solutions kama kampuni itafanya malipo moja kwa moja katika shule au chuo husika na mwanafunzi atakayepewa ada ya masomo (Tuition fees)fedha za vitabu mkononi.

Naomba kumalizia kwa kumbusha tu mfumo huu utapunguza idadi ya wanafunzi wanao soma kupitia Bodi ya Mikopo kwani wengi wao huwa wanashindwa kulipa mkopo baada ya muda wa kusoma au hatakushindwa kukamilisha vigezo vya kupata mikopo hio.

Mshindi wa kwanza wa NITASOMA Scholarship kwa zawadi ya simu ya mkononi tarehe anatarajiwa kupatikana 22.03.2010 yaani jumatatu ijayo.
www.nitasoma.com

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...