Skip to main content

Hii imetuli ni nitasoma.com

4Layers (T) Ltd ni miongoni mwa kampuni chache nchini ambayo inajihusisha na utoaji wa huduma hususani katika maswala ya Elimu.

mpango huu umeanza rasmi leo tarehe 15.03.2010 , huduma ambazo kampuni hii itatoa ni scholarship kwa mashule na vyuo taasisi zote za elimu ya juu kwa ujumla vilivyopo nchini, pili ni pamoja na kutoa ushauri wa kitaalam kwa wanafunzi juu ya kuchagua masomo kwa shule za sekondari pia kuelimishwa jinsi kujiunga na mashule au vyuo na vitengo mbalimbali vya elimu na ufundi, mafunzo katika kuandika barua ya kuomba kazi , muongozo kamili katika kuboresha elimu kwa ujumla huduma hii itawalenga wanafunzi kuanzia shule za sekondari, vyuo vya elimu ya juu na vyuo vikuu.

NITASOMA Annual Career day ni siku ambayo wanafunzi watakutana na wataalam maarufu nchini ana kwa ana na kujadiliana kuhusu ubora, umuhimu hata matatizo ya ufanisi katika sekta hizo mbalimbali. Kwa kipindi cha mwaka tunatarajia kusomesha bure wanafunizi 6 kwa muda wote wa masomo na kutoa zawadi za Laptop 12, vitabu vya masomo au vifaa vya masomo kwa wanafunzi 12, simu ya mkononi 1 kwa wiki zawadi hizi ni kwa wanafunzi wale watakaoshinda kupitia bahati nasibu maalum.

Wanafunzi watakaofaidika na mpango huu ni wale tu watakao tuma ujumbe mfupi wa simu NITASOMA SEC au NITASOMA HIGH kwa shule za sekondari au NITASOMA UNI kwa vyuo vikuu kwenda kwenye namba 15767 na ataingia katika mchakato huo kwa gharama ya shilingi ya kitanzania 500 tu.

Zawadi hizo zitatolewa kwa awamu yaani laptop moja kwa kila mwezi. Simu ya mkononi kila wiki na vitabu kila mwezi tukizingatia masharti na vigezo.

Napenda kukumbusha tena mpango huu wajamii utasaidia kuwapa nafasi wale walioshindwa kwenda kusoma ndani na nje ya nchi kupitia nafasi za serikali na kwa wanafunzi walioshindwa kuendelea kusoma kutokana na gharama za masomo. Pia mpango huu utasaidia wanafunzi walioshindwa kupata nafasi ya kusoma kutokana na ushindani wa alam au nafasi maalum na wanafunzi wengine.

Kuhusiana na utaratibu wamalipo, 4 Layers (T) Ltd Tuition Management solutions kama kampuni itafanya malipo moja kwa moja katika shule au chuo husika na mwanafunzi atakayepewa ada ya masomo (Tuition fees)fedha za vitabu mkononi.

Naomba kumalizia kwa kumbusha tu mfumo huu utapunguza idadi ya wanafunzi wanao soma kupitia Bodi ya Mikopo kwani wengi wao huwa wanashindwa kulipa mkopo baada ya muda wa kusoma au hatakushindwa kukamilisha vigezo vya kupata mikopo hio.

Mshindi wa kwanza wa NITASOMA Scholarship kwa zawadi ya simu ya mkononi tarehe anatarajiwa kupatikana 22.03.2010 yaani jumatatu ijayo.
www.nitasoma.com

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.