Wamekamilika jamaa hawa wakati wa msosi ni msosi kwa kwenda mbele ni Clouds FM iliyopo eneo la Mikocheni Dar es Salaaam.
Siunaona jamaa huyo anavyo jiachia na sahani yake mkononi full paja la nyama ya kuku , tambi , mboga mboga , jamaa anasema huo ni mlo makini Clouds FM iko juuuuu.
na ikini chakula ninacho kipenda katika mchana huu, ameiambia blog hii (Pichani) anaitwa Jimmy Francis wa Clouds FM. Kweli upande wa chakula muda wa mchana ua tunakula
hapa Canteen kwetu , chakula kipo freshi .
Comments