HALI hii kiachwa kwa muda wa masaa kadhaa huwa ni hatari kwa afya ya mwanadamu. Wanyabiashara katika soko hilo uwajibika kutupa taka hapa ila , wanaona kero kubwa kama dampo hili lenye magurudumu ya kujongea , linapo kaa bila ya kuondoshwa kwa masaa .
Comments