Skip to main content

TIC :YATANGAZA FURSA ZAIDI KWA WAWEKEZAJI WA NDANI NA NJE

KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC) imesema kwa kushirikiana na Wizara ya mambo ya Nje 
na ushirikiano wa Afrika Mashariki,Taasisi sekta binafsi Tanzania (TPSF) na
Ubalozi wa Tanzania  nchini China iimeandaa kongamano maalum la kuhamasisha  
na kukuza Uwekezaji  na biashara  kati ya Tanzania na China katika kongamano
hilo linatarajiwa kufanyika  Oktoba 16 mwaka huu.



Hayo yamesemwa na Geofrey Mwambe alipo kuwa akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana ambapo  alisema kuwa lengo la mkutano huo ni kutangaza fursa za biashara  na uwekezaji
zilizopo hapa nchini kwa wawekezaji na wafanya biashara wa China fursa ambazo  zipo
katika sekta mbali mbali  kama vile viwanda ,Madini ,Nishati,Usafiri,Mafuta na pamoja
na Miundombinu.

Alisema sekta zingine ni ujenzi ,uvuvi wa kina  kirefu,Kilimo na usindikaji wa 
mazao,Afya,Teknolojia ya habari na mawasiliano,Madawa. mbali na hayo.

 TIC pia kimekanusha taarifa zilizoenea kuwa wawekezaji wanafunga biashara zao huku kikibainisha kuwa taarifa hizo ni za uongo na zinafaa kupuuzwa kwani wawekezaji wanaendelea kuja nchini kwa ajili ya kuwekeza kwenye sekta mbalimabli.

"China mpaka Mei mwaka huu inaongoza kwa uwekezaji nchini kwa thamani ya 
miradi na tunatarajiwa kongamano hili kuhudhuriwa na wawekezaji wa makampuni
makubwa zaidi ya 100 kutoka China,"alisema Geoffrey.

 Geoffrey alisema China itasaidia kuiweka na kuitangaza Tanzania kama miongoni 
mwa maeneo  yenye fursa  na mazingira mazuri ya kibiashara  kwa kampuni za kutoka
China.

Aidha alisema makampuni ya kitanzania yanakaribishwa  kushiriki kwenye kongamano
hilo ili kuweza kuanzisha , kukuza na kuendeleza ushirikiano katika nyanja za biashara
na uwekezaji kwa kushirikiana na kampni za wafanya biashara wa China.

"Tunategemea Tanzania ita ongeza thamani ya mitaji ya uwekezaji kutoka nje yaani
FDI iwapo makampuni ya China yatakayohudhuria kongamano  yata amua kufanya uwekezaji
nchini,"alisema Geoffrey.

Alisema TIC inapenda kutumia fursa hiyo kuitangaza  Tanzania  kwa ujumla kwani
mpaka sasa  mwezi Mei mwaka huu  kituo cha uwekezaji TIC,kimeweza kusajili  miradi
670 ambayo yenye umiliki wa china inayotarajia kuzalisha ajra zipatazo 83,394 yenye
thamani ya mtaji  wa kiasi cha dola za Marekani 5,779 hivyo hiyo ni fursa  muhimu kabisa
kwa watanzania.




Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.