Skip to main content

TIC :YATANGAZA FURSA ZAIDI KWA WAWEKEZAJI WA NDANI NA NJE

KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC) imesema kwa kushirikiana na Wizara ya mambo ya Nje 
na ushirikiano wa Afrika Mashariki,Taasisi sekta binafsi Tanzania (TPSF) na
Ubalozi wa Tanzania  nchini China iimeandaa kongamano maalum la kuhamasisha  
na kukuza Uwekezaji  na biashara  kati ya Tanzania na China katika kongamano
hilo linatarajiwa kufanyika  Oktoba 16 mwaka huu.



Hayo yamesemwa na Geofrey Mwambe alipo kuwa akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana ambapo  alisema kuwa lengo la mkutano huo ni kutangaza fursa za biashara  na uwekezaji
zilizopo hapa nchini kwa wawekezaji na wafanya biashara wa China fursa ambazo  zipo
katika sekta mbali mbali  kama vile viwanda ,Madini ,Nishati,Usafiri,Mafuta na pamoja
na Miundombinu.

Alisema sekta zingine ni ujenzi ,uvuvi wa kina  kirefu,Kilimo na usindikaji wa 
mazao,Afya,Teknolojia ya habari na mawasiliano,Madawa. mbali na hayo.

 TIC pia kimekanusha taarifa zilizoenea kuwa wawekezaji wanafunga biashara zao huku kikibainisha kuwa taarifa hizo ni za uongo na zinafaa kupuuzwa kwani wawekezaji wanaendelea kuja nchini kwa ajili ya kuwekeza kwenye sekta mbalimabli.

"China mpaka Mei mwaka huu inaongoza kwa uwekezaji nchini kwa thamani ya 
miradi na tunatarajiwa kongamano hili kuhudhuriwa na wawekezaji wa makampuni
makubwa zaidi ya 100 kutoka China,"alisema Geoffrey.

 Geoffrey alisema China itasaidia kuiweka na kuitangaza Tanzania kama miongoni 
mwa maeneo  yenye fursa  na mazingira mazuri ya kibiashara  kwa kampuni za kutoka
China.

Aidha alisema makampuni ya kitanzania yanakaribishwa  kushiriki kwenye kongamano
hilo ili kuweza kuanzisha , kukuza na kuendeleza ushirikiano katika nyanja za biashara
na uwekezaji kwa kushirikiana na kampni za wafanya biashara wa China.

"Tunategemea Tanzania ita ongeza thamani ya mitaji ya uwekezaji kutoka nje yaani
FDI iwapo makampuni ya China yatakayohudhuria kongamano  yata amua kufanya uwekezaji
nchini,"alisema Geoffrey.

Alisema TIC inapenda kutumia fursa hiyo kuitangaza  Tanzania  kwa ujumla kwani
mpaka sasa  mwezi Mei mwaka huu  kituo cha uwekezaji TIC,kimeweza kusajili  miradi
670 ambayo yenye umiliki wa china inayotarajia kuzalisha ajra zipatazo 83,394 yenye
thamani ya mtaji  wa kiasi cha dola za Marekani 5,779 hivyo hiyo ni fursa  muhimu kabisa
kwa watanzania.




Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...