Skip to main content

Mwana dada Wema Sepetu amjibu Nuh mziwanda : Amwambia siwezi kubishana na watoto wadogo




Super Star kutoka bongo movie Wema sepetu ameamua kujibu tuhuma za Nuh Mziwanda kuwa amemuharibia penzi lake na shilole kwa kuamua kuvujisha Audio inayosikika akimtongoza, kupitia mtandao wa Instagram, Wema amejibu hivi
wema-sepetu
“Naitwa Wema Sepetu na ntabaki kuwa Wema Sepetu… Iam Number One… Sina muda wa kubishana na watoto…Nina muda wa kufanya kazi na kwa sasa jicho langu limeelekea kwa Wanyaturu wangu Singida na kwenye siasa yangu pamoja na kazi zangu za maana bila kusahau entertainment niliokuwa ninayo from 2006 … Kumbe wakati mi nimelala nyie mnaandika Instagram… Ntapata dhambi kugombana na watoto wadogo-ambao nimewazidi sio pesa tu hadi dhambi pia nimewazidi…. Mstafute kick kupitia jina la Wema jamani… Jitume, amka, usibweteke, fanya kazi…. Umarioo mwisho Chalinze maana Dar wote tuna Hustle… Ama nene….#WemaAbrahamSepetu#NumberOne#KibokoYao… Nimemaliza… Good morning everyone….!!”

Comments