Skip to main content

Mahakama yapinga Rais Banda kufuta matokeo Malawi

Lilongwe, Malawi. Mahakama Kuu ya Malawi imepinga uamuzi wa Rais wa nchi hiyo, Joyce Banda kufuta matokeo ya awali yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Malawi (MEC) kwa madai kuwa hana mamlaka hayo.
Mahakama Kuu ilitoa uamuzi huo jana baada ya Rais Banda kufuta uchaguzi huo kwa madai kuwa ulikuwa na kasoro, ikiwa ni pamoja na vitendo vya wizi na matokeo kuchezewa kwenye kompyuta.(Martha Magessa)
Wakati Rais Banda akitangaza kufuta matokeo ya uchaguzi alisema: "Ninabatilisha matokeo ya uchaguzi kwa mamlaka niliyopewa na katiba ya Malawi. Ninataka kuwapa Wamalawi nafasi nyingine ya kuchangua mgombea anayefaa kwa uhuru."
Aidha, Rais Banda alisema kuwa hatagombea tena nafasi ya urais katika uchaguzi ambao alisema utafanyika ndani ya siku 90 kuanzia sasa.
Awali mawakili wa serikali ya Malawi, Kalekeni Kaphale, Noel Chalamanda, Patrick Mpaka waliwasilisha pingamizi mahakamani wakipinga Rais Banda kufuta matokeo hayo.
Chalamanda alisema mahakama hiyo imetupilia mbali tangazo la Rais Banda kwa kuwa hana mamlaka ya kufuta matokeo ya uchaguzi na kusimamisha kazi ya kuhesabu kura. "Mahakama imesema Rais Banda hana mamlaka ya kufuta uchaguzi," alisema Chalamanda.
Chalamanda alisema mahakama hiyo pia imeweka pingamizi Rais Banda kutokana na hatua yake ya kufuta matokeo na kusimamisha shughuli za kuhesabu kura.
Baada ya Rais Banda kutangaza kufuta matokeo, hali ya wasiwasi ilitanda katika mji mdogo wa Limbe ambako polisi wa nchi hiyo walikuwa wakipita huku na kule wakiwa kwenye magari.
Ulinzi uliimarishwa juzi katika mji huo baada ya serikali kupata taarifa za kiintelejensia kwamba raia wa nchi hiyo walipanga kufanya maandamano kupinga uamuzi wa rais huyo.
Kabla ya serikali kutuma polisi kwenye mji huo, wananchi walianzisha vurugu katika mji mkuu wa Blantyre.
Katika hatua nyingine, chama cha MCP kimetangaza kwamba mgombea wake, Lazarus Chakwera ameshinda uchaguzi huo pia tume ya uchaguzi na baadhi ya vyombo vimekuwa vikishambuliwa kwa kutangaza kuwa mgombea wa Democratic Progressive Party (DPP) anaongoza kwa asilimia 42.
Kabla ya Rais Banda kutangaza kufuta matokeo hayo, Tume ya Uchaguzi ya Malawi (MEC) ilitangaza matokeo ya awali ambayo yalionyesha mgombea wa Democratic Progressive Party (DPP), Peter Mutharika alikuwa akiongoza kwa asilimia 42 baada ya kupata kura 683,621 akifuatiwa na Rais Banda ambaye alipata kura 372,101 sawa na asilimia 23 kupitia People's Party (PP).
CHANZO:MWANANCHI

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.