Skip to main content

Mahakama yapinga Rais Banda kufuta matokeo Malawi

Lilongwe, Malawi. Mahakama Kuu ya Malawi imepinga uamuzi wa Rais wa nchi hiyo, Joyce Banda kufuta matokeo ya awali yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Malawi (MEC) kwa madai kuwa hana mamlaka hayo.
Mahakama Kuu ilitoa uamuzi huo jana baada ya Rais Banda kufuta uchaguzi huo kwa madai kuwa ulikuwa na kasoro, ikiwa ni pamoja na vitendo vya wizi na matokeo kuchezewa kwenye kompyuta.(Martha Magessa)
Wakati Rais Banda akitangaza kufuta matokeo ya uchaguzi alisema: "Ninabatilisha matokeo ya uchaguzi kwa mamlaka niliyopewa na katiba ya Malawi. Ninataka kuwapa Wamalawi nafasi nyingine ya kuchangua mgombea anayefaa kwa uhuru."
Aidha, Rais Banda alisema kuwa hatagombea tena nafasi ya urais katika uchaguzi ambao alisema utafanyika ndani ya siku 90 kuanzia sasa.
Awali mawakili wa serikali ya Malawi, Kalekeni Kaphale, Noel Chalamanda, Patrick Mpaka waliwasilisha pingamizi mahakamani wakipinga Rais Banda kufuta matokeo hayo.
Chalamanda alisema mahakama hiyo imetupilia mbali tangazo la Rais Banda kwa kuwa hana mamlaka ya kufuta matokeo ya uchaguzi na kusimamisha kazi ya kuhesabu kura. "Mahakama imesema Rais Banda hana mamlaka ya kufuta uchaguzi," alisema Chalamanda.
Chalamanda alisema mahakama hiyo pia imeweka pingamizi Rais Banda kutokana na hatua yake ya kufuta matokeo na kusimamisha shughuli za kuhesabu kura.
Baada ya Rais Banda kutangaza kufuta matokeo, hali ya wasiwasi ilitanda katika mji mdogo wa Limbe ambako polisi wa nchi hiyo walikuwa wakipita huku na kule wakiwa kwenye magari.
Ulinzi uliimarishwa juzi katika mji huo baada ya serikali kupata taarifa za kiintelejensia kwamba raia wa nchi hiyo walipanga kufanya maandamano kupinga uamuzi wa rais huyo.
Kabla ya serikali kutuma polisi kwenye mji huo, wananchi walianzisha vurugu katika mji mkuu wa Blantyre.
Katika hatua nyingine, chama cha MCP kimetangaza kwamba mgombea wake, Lazarus Chakwera ameshinda uchaguzi huo pia tume ya uchaguzi na baadhi ya vyombo vimekuwa vikishambuliwa kwa kutangaza kuwa mgombea wa Democratic Progressive Party (DPP) anaongoza kwa asilimia 42.
Kabla ya Rais Banda kutangaza kufuta matokeo hayo, Tume ya Uchaguzi ya Malawi (MEC) ilitangaza matokeo ya awali ambayo yalionyesha mgombea wa Democratic Progressive Party (DPP), Peter Mutharika alikuwa akiongoza kwa asilimia 42 baada ya kupata kura 683,621 akifuatiwa na Rais Banda ambaye alipata kura 372,101 sawa na asilimia 23 kupitia People's Party (PP).
CHANZO:MWANANCHI

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...