Skip to main content

Maalim Seif Atembelea Vyombo Vya Habari




Khadija Khamis-Maelezo Zanzibar 12/03/2012
Makamu wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad amesema changamoto zinazotokea katika utendaji kazi katika Taasisi mbali mbali ni chachu katika kuleta maendeleo na kujikwamua pale tulipofika.
Amesema bila ya kuwa na changamoto maendeleo yataendelea kusuasua kwani kutakuwa hakuna hatua itakayopigwa mbele katika kuleta mafanikio.
Maalim Seif aliyaeleza hayo leo wakati akizungumza na uongozi wa Vyombo vya Habari vya Serikali ikiwemo Idara ya Habari Maelezo,Shirika la Utangazaji Zanzibar ZBC na Gazeti la Zanzibar ikiwa ni mfululizo wa kutembelea Idara za Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo.
Amesema vyombo vya habari ndio kiungo kikubwa kati ya wananchi na Serikali hivyo ni vyema kufanya kazi kwa uadilifu na kuweza kukabiliana na vikwazo ambavyo vinaweza kurudisha nyuma juhudi mbali mbali zinazochukuliwa na wananchi na hata Serikali.
Akizungumzia juu ya mafunzo kwa wanahabari, Maalim Seif alizitaka taasisi hizo kuwa na mpango mzuri wa kuwapeleka waandishi wa habari masomoni na katika mafunzo mengine ili waweze kukabiliana na kasi ya maendeleo ya teknolojia ambayo kwa sasa inakwenda kwa kasi kubwa.
Amesema masomo humjengea uwezo mwana habari wa kuweza kutumia kifaa chochote na kuweza kuibua mambo kadha ikiwemo uwezo wa kumkabili mtu yeyote bila ya woga au wasi wasi.
Amewataka waandishi wa habari katika Idara hiyo kuendelea kuwa wabunifu katika uandishi na kuandika habari zilizofanyiwa utafiti wa kina bila ya woga wowote
Maalim Seif alisisitiza haja ya kuwa na vifaa vya kisasa vinavyokwenda na wakati ili kuweza kufanya kazi kwa ufanisi , haraka na kwa wepesi zaidi.
Mapema Makamu wa Kwanza wa Rais aliipongeza Idara ya Habari kwa utendaji wake hasa kwa vile inatoa huduma ndani na nje ya nchi na kuishauri kuanza kupeleka taarifa zake katika vituo vyengine vya kigeni kama BBC,AFP CNN na REUTERS ili kuweza kutumia taarifa hizo na kuitangaza Zanzibar.
Akizungumzia suala la mishahara alisema kuwa viwango vya mshahara kwa wafanyakazi wa Vyombo vya habari ni vidogo kulingana na hali halisi na kupendekeza viwango hivyo kubadilishwa kulingana na wakati uliopo.
“Binadamu ni binadamu anaangalia maslahi yake tukisema uzalendo tu wengi watashindwa”alisema Maalim Seif
Katika Ziara hiyo Maalim Seif alitembelea Idara ya Habari Maelezo,Shirika la Magazeti ya Serikali,Shirika la Utangazaji la Zanzibar ZBC pamoja na maeneo ya Mitambo ya kurushia matangazo ya Shirika hilo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.