Skip to main content

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAMWAGA ZAIDI YA MILIONI 10 TUZO ZA WAANDISHI WA HABARI

Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga, akizungumza na wajumbe wa kamati ya maandalizi ya tuzo za waandishi wa habari (EJAT) itakayofanyika hivi karibuni, pamoja na waandishi wa habari wakati akishukuru Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) kufuatia msaada wa shilingi milioni 10.925.000 ilioutoa kwa baraza hilo kwa ajili ya maandalizi ya tuzo hizo, katika mkutano uliofanyika kwenye makao makuu ya baraza hilo Mwenge jijini Dar es salaam, katika picha katikati ni Teddy Mapunda Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) na kushoto ni Mwenyekiti wa Jukwa la Wahariri Absalom Kibanda.
Teddy Mapunda Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) akifafanua jambo katika mkutano huo kuhusiana na udhamini wao katika tuzo hizo, kulia ni Mwenyekiti wa Jukwa la Wahariri Absalom Kibanda, ambalo limesaidia sana MCT kupata udhamini huo.
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Absalom Kibanda akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi 10.925.000 kwa Kajubi Mukajanga Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari (MCT) , fedha ambazo Kampuni ya (SBL) imetoa kwa Baraza la Habari (MCT) kwa ajili ya kufanikisha tuzo hizo, katikati ni Teddy Mapunda Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampuni ya bia ya Serengeti.
Kutoka kulia ni Imani Lwinga Meneja wa Habari na mawasiliano kampuni ya bia ya Serengeti, Absalom Kibanda Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Teddy Mapunda Mkurugenzi wa Mawasiliano (SBL), Kajubi Mukajanga Katibu Mtendaji (MCT) na Nandi Mwiyombela Meneja wa Mahusiano ya Umma wa (SBL), wakionyesha mfano wa hundi hiyo kwa wajumbe wa kamati ya maandalizi na waandishi wa habari.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.