Skip to main content

acheza shoo watakaocheza nusu uchi kukiona cha moto


BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema bado linakerwa na tabia ya uvunjifu wa maadili katika sanaa za maonyesho, hasa unenguaji na kutaka hali hiyo ifike mwisho.
Katibu Mtendaji wa BASATA, Ghonche Materego alisema hayo mwishoni mwa wiki iliyopita mjini Dar es Salaam na kuongeza kuwa, ni lazima kuwe na mabadiliko dhidi ya uvunjifu wa maadili kwenye sekta ya sanaa, vinginevyo hatua zitaanza kuchukuliwa.
“Haya si mambo yanayofurahisha, ni lazima jamii ionyeshe ushirikiano kwa kupambana na udhalilishaji wa aina hii. Kuna mambo yasiyopaswa kufanyika hadharani na yanabaki kuwa ya ndani tu kwenye klabu za usiku na Casino, si vinginevyo” alisistiza Materego.
Aliongeza kuwa, si jambo la busara hata kidogo kwa maonyesho hayo ya sehemu maalum za ndani kuanza kufanywa hadharani kwani ni kinyume cha sheria na taratibu za nchi na ni udhalilishaji wa sekta ya sanaa hivyo aliwataka wasanii kujipanga ili kupambana na tatizo hilo.
“Mabadiliko lazima yafanywe. Vyama, mashirikisho na mitandao ya wasanii vianze mara moja kuangalia maadili kwenye maeneo yao. Hatua madhubuti zichukuliwe dhidi ya watakaoendelea kuvunja maadili kwenye sanaa” alisisitiza Materego.
Awali, Mwenyekiti wa Chama cha Muziki wa Dansi Tanzania (CHAMUDATA), Juma Ubao alisema kinachofanyika sasa kwenye unenguaji si muziki wa dansi bali ni aina fulani ya matukio ambayo ni maalum kwa ajili ya klabu za usiku.
“Unenguaji wa uchi usihusishwe hata kidodo na muziki wa dansi. Haya yanayofanyika sasa ni kuuchafua muziki huu. Ni lazima tuelewe haya si ya kuyavumilia kwenye muziki wetu” alisisitiza Ubao.
Alisema katika miaka ya nyuma, wanenguaji walikuwa wakivaa mavazi ya heshima na kufanya maonesho yaliyowavutia mashabiki wa rika zote, lakini kwa sasa hali ni tofauti kutokana na kuwepo kwa vikundi vinavyovaa uchi na kuanza kunengua hadharani.
Kwa upande wake, mtendaji kutoka asasi ya Binti Leo, inayojishughulisha na sanaa za majukwani, Betty Kazimbaya alisema, kinachofanyika sasa ni kudhalilisha sanaa na ukiukwaji wa maadili kupitia wasanii wanaolipwa pesa kiduchu hivyo kutaka hatua kali zichukuliwe.
“Kazi kubwa ya wasanii wa aina hii ni kusitiri mwili, inakuaje kuwe na vikundi havitumii mavazi haya kwa kazi hiyo?" Alihoji Kazimbaya

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.