Skip to main content

acheza shoo watakaocheza nusu uchi kukiona cha moto


BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema bado linakerwa na tabia ya uvunjifu wa maadili katika sanaa za maonyesho, hasa unenguaji na kutaka hali hiyo ifike mwisho.
Katibu Mtendaji wa BASATA, Ghonche Materego alisema hayo mwishoni mwa wiki iliyopita mjini Dar es Salaam na kuongeza kuwa, ni lazima kuwe na mabadiliko dhidi ya uvunjifu wa maadili kwenye sekta ya sanaa, vinginevyo hatua zitaanza kuchukuliwa.
“Haya si mambo yanayofurahisha, ni lazima jamii ionyeshe ushirikiano kwa kupambana na udhalilishaji wa aina hii. Kuna mambo yasiyopaswa kufanyika hadharani na yanabaki kuwa ya ndani tu kwenye klabu za usiku na Casino, si vinginevyo” alisistiza Materego.
Aliongeza kuwa, si jambo la busara hata kidogo kwa maonyesho hayo ya sehemu maalum za ndani kuanza kufanywa hadharani kwani ni kinyume cha sheria na taratibu za nchi na ni udhalilishaji wa sekta ya sanaa hivyo aliwataka wasanii kujipanga ili kupambana na tatizo hilo.
“Mabadiliko lazima yafanywe. Vyama, mashirikisho na mitandao ya wasanii vianze mara moja kuangalia maadili kwenye maeneo yao. Hatua madhubuti zichukuliwe dhidi ya watakaoendelea kuvunja maadili kwenye sanaa” alisisitiza Materego.
Awali, Mwenyekiti wa Chama cha Muziki wa Dansi Tanzania (CHAMUDATA), Juma Ubao alisema kinachofanyika sasa kwenye unenguaji si muziki wa dansi bali ni aina fulani ya matukio ambayo ni maalum kwa ajili ya klabu za usiku.
“Unenguaji wa uchi usihusishwe hata kidodo na muziki wa dansi. Haya yanayofanyika sasa ni kuuchafua muziki huu. Ni lazima tuelewe haya si ya kuyavumilia kwenye muziki wetu” alisisitiza Ubao.
Alisema katika miaka ya nyuma, wanenguaji walikuwa wakivaa mavazi ya heshima na kufanya maonesho yaliyowavutia mashabiki wa rika zote, lakini kwa sasa hali ni tofauti kutokana na kuwepo kwa vikundi vinavyovaa uchi na kuanza kunengua hadharani.
Kwa upande wake, mtendaji kutoka asasi ya Binti Leo, inayojishughulisha na sanaa za majukwani, Betty Kazimbaya alisema, kinachofanyika sasa ni kudhalilisha sanaa na ukiukwaji wa maadili kupitia wasanii wanaolipwa pesa kiduchu hivyo kutaka hatua kali zichukuliwe.
“Kazi kubwa ya wasanii wa aina hii ni kusitiri mwili, inakuaje kuwe na vikundi havitumii mavazi haya kwa kazi hiyo?" Alihoji Kazimbaya

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...