Skip to main content

TANESCO HAKUELEWEKI


PAMOJA na Shirika la Umeme (Tanesco) kudai kuwa kukatikakatika kwa umeme kunakoendelea, kunatokana na shirika hilo kuzima mitambo ya Aggreko, taarifa ya uzalishaji wa umeme kwenye Gridi ya Taifa, imeonesha kuwa umeme unaozalishwa unatosha na kuzidi mahitaji.

Taarifa ya uzalishaji umeme kwa jana ambayo gazeti hili linayo, ilionesha kuwa umeme uliokuwa ukizalishwa katika Gridi ya Taifa bila kuwashwa kwa mitambo hiyo, ni megawati 742.60 wakati mahitaji halisi ya umeme ni Megawati 683.

Akifafanua hali hiyo ofisini kwake jana, Kamishna wa Nishati katika Wizara ya Nishati na Madini, Prosper Victus, alisema katizo la umeme la mara kwa mara linatokana na kuzeeka kwa mitambo ya kusambaza umeme ya Jiji la Dar es Salaam.

Wakati Victus akitoa taarifa hiyo, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Masharika ya Umma (POAC), Kabwe Zitto (Chadema), alidai kuwa Tanesco wamedai kuwa umeme unakatika kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya Aggreko kulikosababishwa na kukosa fedha za kuendesha mitambo hiyo. 

Zitto aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa shirika hilo limeshindwa kupata fedha za kuendesha mitambo ya Aggreko kutokana na Serikali kushindwa kutoa Sh bilioni 408 kwa Tanesco.

Fedha hizo ziliahidiwa kutolewa na Serikali ili kuisaidia kukabiliana na mpango wa dharura wa kuzalisha megawati 200 ambazo zinazalishwa kwa pamoja kati ya Aggreko na kampuni ya kufua umeme wa gesi ya Symbion. Kila kampuni inazalisha megawati 100.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.