Katibu wa Chama cha mchezo wa ngumi Temeke Ali
Mchumila akimkabidhi flana ya wadhamini wa michuano ya Wilaya ya Temeke CAW BEll
Makamu menyekiti wa Mpira wa Kikapu Nchini , Phares Magesa
Bondia Haridi Kibavu (kushoto) akimrushia konde Mahafudhi Swai wakati wa mpambano wao ulioandaliwa na Chama cha mchezo wa Ngumi Temeke, Dar es salaam jana, Kibavu aliashinda Kwa Pointi.
Bondia Haridi Kibavu (kushoto) akimrushia konde Mahafudhi Swai wakati wa mpambano wao ulioandaliwa na Chama cha mchezo wa Ngumi Temeke, Dar es salaam jana, Kibavu aliashinda Kwa Pointi.
Kocha wa Mchezo wa Kimataifa wa Masumbwi Nchini
Rajabu Mhamila Super D kushoto akimsindikoza Bondia Ibrahimu Class wa Amana kwa
ajili ya kucheza Jana
Mabondia Hamadi Omari na Thomas Son wakioneshana ufundi wa kutupiana
masumbwi wakati wa mashindano yaliyoandaliwa na chama cha mchezo wa Ngumi
TEMEKE picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Comments