Skip to main content

Yule mwanamke aliyemwagiwa Tindikali nchini Pakistani ajiua baada ya miaka 12


Fakhra Younus kushoto kabla ya kumwagiwa tindikali na kulia baada ya kumwagiwa tindikali
Yule aliyekuwa mchezaji muziki wa Pakistani ambaye alimwagiwa tidikali mwezi wa Mei mwaka 2000 hatimae amejiua.

Fakhra Younus, 33 amejijiua kwa kujirusha kutoka katika ghorofa ya sita huko Rome nchini Italia baada ya takribani miaka 12 tangu amwagiwe tindikali ambayo mwenyewe alisema imemfanya aonekane kama si binaadamu.

Tukio la kumwagiwa kwa tindikali ambalo inasadikiwa aliyekuwa mumewe, Bilal Khar aliingia nyumbani kwa mama yake mwanamke huyo na kumwagia tindikali Fakhra usoni mwake wakati akiwa amelala.

Unyama huo ambao uliharibu uso wa mrembo huyo na kupelekea kufanyiwa operesheni mara 39 ili kuweka sawa sehemu za uso zilizoharibika. Kutokana na kumwagiwa tindikali hiyo aliunguza nywele zake, alipoteza pua, midomo, sikio la kushoto, kuunguza matiti na hata kupofua moja ya jicho lake.


Younus, kushoto, akiwa na Tehmina Durrani, ambaye alikuwa akimsaidia wakati wa uhai wake

Mwanamke huyo ambaye alifanikiwa kupata mtoto mmoja alihamia Italia kwa matibabu baaday kupata athari hiyo.

Tarehe 17 Machi mwaka huu aliamua kujiua na kuacha ujumbe wa kuwa 'ameamua kujiua baada ya kuona sheria imekaa kimya na baadhi ya watawala wa Pakistani kutokuwa ubinaadamu.

Bilal Khar alikamatwa mwaka 2002 na kufunguliwa mashitaka ya kutaka kuua, lakini aliachiwa kwa dhamana miaka mitano baadae.

Khar ambaye aliwahi kuwa mjumbe katika Bunge na ni mtoto wa gavana ambaye tajiri baadae alichiwa kwa kutokutwa na hatia yoyote, ingawa wengi wa wananchi wanaamini ya kuwa alitumia baadhi ya wanafamilia wake ili kufutiwa madai hayo.
Familia ya Younus wakilia kwa uchungu baada ya mwili wake kuwasili katika uwanja wa ndege wa Karachi nchini Pakistani ukitokea Italia
Mwili wa Fakhra Younus ukitolewa nje ya uwanja wa ndege wa Karachi baada ya kuwasili ukitokea Italia

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.