Skip to main content

Yule mwanamke aliyemwagiwa Tindikali nchini Pakistani ajiua baada ya miaka 12


Fakhra Younus kushoto kabla ya kumwagiwa tindikali na kulia baada ya kumwagiwa tindikali
Yule aliyekuwa mchezaji muziki wa Pakistani ambaye alimwagiwa tidikali mwezi wa Mei mwaka 2000 hatimae amejiua.

Fakhra Younus, 33 amejijiua kwa kujirusha kutoka katika ghorofa ya sita huko Rome nchini Italia baada ya takribani miaka 12 tangu amwagiwe tindikali ambayo mwenyewe alisema imemfanya aonekane kama si binaadamu.

Tukio la kumwagiwa kwa tindikali ambalo inasadikiwa aliyekuwa mumewe, Bilal Khar aliingia nyumbani kwa mama yake mwanamke huyo na kumwagia tindikali Fakhra usoni mwake wakati akiwa amelala.

Unyama huo ambao uliharibu uso wa mrembo huyo na kupelekea kufanyiwa operesheni mara 39 ili kuweka sawa sehemu za uso zilizoharibika. Kutokana na kumwagiwa tindikali hiyo aliunguza nywele zake, alipoteza pua, midomo, sikio la kushoto, kuunguza matiti na hata kupofua moja ya jicho lake.


Younus, kushoto, akiwa na Tehmina Durrani, ambaye alikuwa akimsaidia wakati wa uhai wake

Mwanamke huyo ambaye alifanikiwa kupata mtoto mmoja alihamia Italia kwa matibabu baaday kupata athari hiyo.

Tarehe 17 Machi mwaka huu aliamua kujiua na kuacha ujumbe wa kuwa 'ameamua kujiua baada ya kuona sheria imekaa kimya na baadhi ya watawala wa Pakistani kutokuwa ubinaadamu.

Bilal Khar alikamatwa mwaka 2002 na kufunguliwa mashitaka ya kutaka kuua, lakini aliachiwa kwa dhamana miaka mitano baadae.

Khar ambaye aliwahi kuwa mjumbe katika Bunge na ni mtoto wa gavana ambaye tajiri baadae alichiwa kwa kutokutwa na hatia yoyote, ingawa wengi wa wananchi wanaamini ya kuwa alitumia baadhi ya wanafamilia wake ili kufutiwa madai hayo.
Familia ya Younus wakilia kwa uchungu baada ya mwili wake kuwasili katika uwanja wa ndege wa Karachi nchini Pakistani ukitokea Italia
Mwili wa Fakhra Younus ukitolewa nje ya uwanja wa ndege wa Karachi baada ya kuwasili ukitokea Italia

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...