Skip to main content

OBAMA NDANI YA MPAKA WA UHURU


Rais Barack Obama akiwa ziarani Korea Kusini, amezuru eneo la mvutano la mpaka na Korea Kaskazini.
Amewasili Korea Kusini kwa mkutano wa kilele kuhusu usalama wa silaha za nuklia, ikiwa sehemu ya mpango wake wa miaka mine kuzuwia zana za nuklia kufika katika mikono ya wahalifu.
Rais Obama alizuru kituo cha ulinzi karibu na eneo linalotambuliwa na jeshi kuwa linatenga Korea Kaskazini na Kusini.
Alitumia darubini kuangalia vijiji ndani ya taifa la kikoministi la Korea Kaskazini.
Hapo awali, alisimama mbele ya wanajeshi wa Marekani, na kuwaambia kuwa wako zamu kwenye "mpaka wa uhuru".
Shughuli hizo alizofanya leo asubuhi, baada ya kuwasili tu Korea Kusini, zimekusudiwa kuwaunga mkono wanajeshi wa Marekani walioko huko na kuonesha ushirikiano wa kijeshi baina ya Marekani na Korea Kusini.
Piya zinaonesha mvutano ulioko hivi sasa na Korea Kaskazini yenye silaha za nuklia.
Korea Kaskazini haitahudhuria mkutano huo wa kilele mjini Seoul.
Mazungumzo nje ya mkutano yanaelekea kuhusika hasa na hitilafu mpya kati ya Marekani na Korea Kaskazini, kuhusu mpango wa Korea Kaskazini kurusha satalaiti angani mwezi ujao.
Wakuu wa Marekani wamesema wazi kuwa Rais Obama atalizusha swala hilo kwenye mazungumzo yake na marais wa Uchina na Urusi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...