Skip to main content

STARS WALIVYOITESA MALAWI

 


Taifa Stars imeanza vizuri kampeni ya kuwania kucheza Kombe la Dunia baada ya kuitwanga Malawi kwa mabao 2-0.

Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Stars ilipata mabao yake yote mawili katika kipindi cha kwanza.
Bao la kwanza, lilitupiwa kimiani mapema tu na Mbwana Samatta ambaye alikuwa mwepesi kuiwahi pasi maridadi ya Thomas Ulimwengu na kufunga kwa ustadi mkubwa.
Ulimwengu, safari hii akipata ‘zawadi’ kutokana na kumfuatilia kipa wa Malawi aliyeutema mpira wa krosi wa Haji Mwinyi.
Hata hivyo, Malawi walionekana matata zaidi katika kipindi cha kwanza mwanzo wakitawala dakika zote 15 za mwanzo.

Stars ikageuka na kutawala dakika zote za katikati kabla ya wageni kurejea na kutawala kipindi cha pili mwishoni.
Kipindi Kocha Charles Boniface Mkwasa akiwa anaingoza Stars kwa mara ya kwanza akiwa Kocha Mkuu mwenye mkataba, aliwatoa Mrisho Ngassa akamuingiza Salum Telela na Simon Msuva akaingia badala ya Thomas Ulimwengu.
Mchezaji mwingine aliyeingia ni Ibrahim Ajibu na kufufua nguvu ya ushambuliaji ya Stars.
Hata hivyo, katika kipindi cha pili Stars walitoa nafasi nyingi zaidi kwa Malawi kushambulia zaidi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...