
Edward Ngoyai Lowassa anatoka katika ya jamii ya wafugaji Kaskazini mwa Tanzania.
Alizaliwa August 26 mwaka 1953 kijijini Ngarashi Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha.
Kitaaluma
Lowasa ni msomi , akiwa na shahada kwanza kutoka chuo Kikuu cha Dar es
salaam na shahada ya Uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Bath huko Uingereza
(1983-1984).
Uzoefu katika siasa
Edward Lowasa ni mtoto wa tatu wa Mzee Ngoyayi.
Ingawa baba yake alikuwa mfugaji aliwahi pia kufanya kazi kama tarishi katika serikali ya wakoloni.

Licha ya kuwa mwanachama wa CCM kwa
miaka 38, bwana Lowassa aliwashangaza wanachama wa CCM kwa uamuzi wake
wa kukihama chama hicho.
Comments