Skip to main content

Mjue Mwimbaji wa nyimbo za Injili Miriam Mhembelo


Miriam Mhembelo akifanya kazi ya Client Service Manager katika Bank ya Standard Chareter jijini Dar es Salaam ni moja kati ya wanawake mfano wa kuigwa , katika shughuli za kusukuma guludumu la Taifa.


Kwa kuwa elimu ni ufunguo wa maisha anaanza kwa kusema kuwa amesoma kuanzia masomo ya awali mpaka kufikia masomo ya elimu ya juu Chuo kikuu Dar es Salaam , anasema kabla ya kufikia elimu hiyo ya juu .


Miriam amesoma katika shule za Lutengano sekondari na kusoma kidato cha tano na sita Kilakala na baada yahapo alisoma masomo ya Bismak Instute, Hotel Mnagement na Aptech Compter College.


Adi sasa anautaalam katika mambo ya Computer , Banking na masomo ya Hotel Management , anaelezakuwa katika familia yao wapo watoto watatu ambao ni David Mhembelo , pamoja na dada yake aitwaye Minza .

Mwimbaji huyo wa muziki wa Injili anasema alizaliwa jijini Dar es Salaam chimbuko lao yeye ni Msukuma kabila lililoko kanda ya ziwa jijini Mwanza.
Mwimbaji huyo anasema anapenda sana kusafiri nchi mbali mbali kucheza muziki wa Injili na kuhubili habari njema ya wokovu.


Miriam anazungumzia mazingira ya ofisini kwao hapo , licha ya kuwa yeye ni mwanamke , ansema ofisini wapo wanawake zaidi ya kumi .

Na muda wa kunigia kazini huwa ni kuanzia saa 8:15 asubuhi na kutoka saa 5:15 jioni kwa sikuza kazi , anasema ni changamoto sana kwa mwanamke kufanya kazi kwani hali hiyo inachangia kukuza uchumi na kuwa na maisha bora.

"Mimi hapa ofisini akuna suala la ubaguzi , hali inayotufanya sisi wanawake na kwa jumla wote tufanye kazi kwa bidii na tena tunapewa nafasi ya kwanza katika mambo mengi tu ," alisema Mhembelo akiwa ofisini . Wanawake wanaofanya kazi ama kujishughulisha na kazi ya kuingiza kipato wao wanakuwa na utofauti na mama anayeitwa mama wa nyumbani. Anasema .

Mwada dada huyo muimbaji ambaye ameishaanza kuonesha dalili nzuri za kufikia muziki wake katika nyanja za kimataifa , si mwimbaji tu bali pia upendelea pia michezo kama vile basket ball valleyBall na pia ni mwana marathon . Amewahi kushiriki mbio za marathon huko nairobi mwaka 2006 mbio za Groe.

Amesema albamu yake ya muziki huo imesheheni nyimbo tisa zote zikiwa zimetayarishwa kwenye studio za Backyards Recors chini ya mtayarishaji Samuel Mbwana Braton na Amarido jijini Dar es Salaam.

Kuhusu janga hatari la Ukimwi anasema ,"Watu wajiepushe nalo , ila akuweza kuimba nyimbo yoyote kuhusu hilo gonjwa ila ana sisitiza kuepuka kufanya dhinaa kwa kuwa ni ugonjwa unao poteza nguvukazi ya Taifa kwani vijana wengi wanapotea."

Miriam ametaja baathi ya nyimbo zake kuwa ni Onjeni muone , Dare to Belive , hakuna Mungu kama wewe pamoja na nyingine kama Jehova Jire pamoja na nyimbo nyingine amabozo ni Nafsi yangu , Wewe ni mungu na mwingine iitwayo Tumpesifa.


Amezisifia nyimbo kama Niumbie moyo safi na Nafsi yangu ambazo amesema nyimbo hizo zimebeba ujumbe kwa waabuduo halisi . "Ninapo imba nafsi yangu msifu Bwana ninasema nafsi yangu kuwa imsifu bwana na kulibariki jina lake takatifu. "


Amesema wimbo wa pili ninausifia kwa sababu nina mwambia mungu niumbie moyo safi ilinikuabudu katika roho na kweli kwa waabuduo halisi wataelewa kuwa bila ya kuwa na moyosafi huwezi kumwabudu Mungu katika roho na kweli.


Ni muhimu sana kuwa na moyo safi mbele za Mungu wakati wa kupeleka sifa kwake , ninyimbo ambazo zina mguso wa kiroho ukisikiliza hita baki kama ulivyo maana nyimbo zimebeba utukufu wa Mungu .Ni lazima utabarikiwa tu utakapo sikiliza alibainisha Miriam.


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...