Skip to main content

Obama, Romney wayalenga majimbo yasiyoegemea upande wowote


Rais Obama akiwa katika kampeni za urais huko Las Vegas, Nevada October 24, 2012.
Rais wa Marekani Barack Obama anafanya kampeni zake nchi nzima Alhamis huku mpinzani wake Mitt Romney wa chama cha Republican analenga juhudi zake za kampeni kwenye jimbo muhimu la Ohio.
Obama amepita kufanya kampeni Alhamis katika majimbo ya Florida, Virginia, Illinois na Ohio. Huko Illinois atapiga kura yake ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu akizingatia kwamba ni makazi aliyokulia kabla ya kuingia White House na vile vile jimbo hilo lina sheria iliyopitishwa kwa kila mtu anayestahiki kupiga kura anaweza kupiga kura yake siku kadhaa kabla ya siku ya mwisho ya uchaguzi mkuu.

Vituo vingine vitatu ni kwa ajili ya kampeni za kuwahamasisha wapiga kura ambao bado hawajaamua wampigie nani kura katika uchaguzi mkuu wa urais. Anatarajiwa kurudi Washington Alhamisi jioni.
Wakati huo huo bwana Romney ataendelea kuwepo katika jimbo la Ohio akitembelea miji ya Cincinnati, Worthington na Defiance kwa ajili ya kufanya mikutano ya kampeni.
Wakati kampeni zikizidi kupamba moto bwana Obama alionekana kwenye kipindi cha televisheni cha Tonight Show kinachoendeshwa na Jay Leno, Jumatano akiahidi kutekeleza ahadi zake za kampeni.
Majimbo ambayo bwana Obama na bwana Romney wanayatembelea Alhamis yatatoa umuhimu wa kuelezea nani atapata kura za wajumbe 270 za wabunge waliohitajika kumuwezesha mgombea kushinda na kuingia White House.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...