Skip to main content

Waganda waadhimisha miaka 50 ya Uhuru


Rais wa Uganda Yoweri Museveni
Waganda wakusanyika pamoja katika Uwanja wa Kololo nchini humo, kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru wa Uganda kutoka utawala wa kikoloni wa Uingereza
Hakuna siku ilioonesha umoja wa waganda na mshikamano na kujivunia kuwa raia wa Uganda kama siku hii ya leo, hivyo ndivyo baadhi ya waganda wanavyohisi siku ya leo Oktoba 9 mwaka wa 1962, ambapo ni miaka 50 tangu walipojinyakulia uhuru kutoka kwa utawala wa kikoloni wa Uingereza.
Usalama umeimarishwa katika Sherehe hizo kubwa zinazofanyika Uganda na kuongozwa na rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni. Sherehe hizo zinahudhuriwa pia na wakuu wa nchi kadhaa za kiafrika, wakiwemo rais wa Jamhuri ya Kiemokrasia ya Kongo Joseph Kabila, Rais wa Burundi Pierre Nkurunzinza, Rais Mwai Kibaki wa Kenya, na Paul Kagame wa Rwanda.
Kulingana na mwandishi wetu mjini Kampala, rais Yoweri Museveni alikuwa akitarajiwa kuhutubia wananchi ambapo wengi wanaamini kuwa ataeendelea kusisitiza waganda kuwa na uzalendo.
Kasisi wa kianglikana Luke Orombi ndiye aliyefungua sherehe kwa maombi akiitakia baraka tele, na kukemea mambo kama ukosefu wa kazi, rushwa, umaskini na siasa zisizokuwa na muelekeo mzuri katika nchi hiyo.Naye Mufti wa Uganda, Sheikh Shaban Mubajje aliliombea amani taifa hilo la Afrika mashariki.
Hata hivyo huku baadhi ya raia wa nchi hiyo wakisherehekea maadhimisho hayo kuna wale wasioona umuhimu wa miaka hiyo 50 ya Uhuru, wakisema hakuna chochote cha kujivunia kwa kuwa maskini wanaendelea kuwa maskini katika taifa hilo lililowahi kutajwa na Waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Winston Churchill kama lulu ya Afrika.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.