Skip to main content

Waganda waadhimisha miaka 50 ya Uhuru


Rais wa Uganda Yoweri Museveni
Waganda wakusanyika pamoja katika Uwanja wa Kololo nchini humo, kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru wa Uganda kutoka utawala wa kikoloni wa Uingereza
Hakuna siku ilioonesha umoja wa waganda na mshikamano na kujivunia kuwa raia wa Uganda kama siku hii ya leo, hivyo ndivyo baadhi ya waganda wanavyohisi siku ya leo Oktoba 9 mwaka wa 1962, ambapo ni miaka 50 tangu walipojinyakulia uhuru kutoka kwa utawala wa kikoloni wa Uingereza.
Usalama umeimarishwa katika Sherehe hizo kubwa zinazofanyika Uganda na kuongozwa na rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni. Sherehe hizo zinahudhuriwa pia na wakuu wa nchi kadhaa za kiafrika, wakiwemo rais wa Jamhuri ya Kiemokrasia ya Kongo Joseph Kabila, Rais wa Burundi Pierre Nkurunzinza, Rais Mwai Kibaki wa Kenya, na Paul Kagame wa Rwanda.
Kulingana na mwandishi wetu mjini Kampala, rais Yoweri Museveni alikuwa akitarajiwa kuhutubia wananchi ambapo wengi wanaamini kuwa ataeendelea kusisitiza waganda kuwa na uzalendo.
Kasisi wa kianglikana Luke Orombi ndiye aliyefungua sherehe kwa maombi akiitakia baraka tele, na kukemea mambo kama ukosefu wa kazi, rushwa, umaskini na siasa zisizokuwa na muelekeo mzuri katika nchi hiyo.Naye Mufti wa Uganda, Sheikh Shaban Mubajje aliliombea amani taifa hilo la Afrika mashariki.
Hata hivyo huku baadhi ya raia wa nchi hiyo wakisherehekea maadhimisho hayo kuna wale wasioona umuhimu wa miaka hiyo 50 ya Uhuru, wakisema hakuna chochote cha kujivunia kwa kuwa maskini wanaendelea kuwa maskini katika taifa hilo lililowahi kutajwa na Waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Winston Churchill kama lulu ya Afrika.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...