Skip to main content

Kimbunga Sandy kimeharibu vibaya baadhi ya Majimbo ya Marekani mwa Mashariki


Photo: Kwa Mujibu wa taratibu zinavyokwenda Atlantic City tayari imeshavamiwa na kimbunga na  hapa mitaa yetu ambapo tupo kando kando kitaapita mida ya saa tisa mchana yani 3:PM na kinatarajiwa kuungana na vimbunga vingine viwili kutoka kaskazini na kusababisha hali mbaya ya hewa itakayotanda kwa upana wa kilomita 1,200 na kuathiri wakazi milioni 60.
Kwa Mujibu wa taratibu zinavyokwenda Atlantic City tayari imeshavamiwa na kimbunga na hapa mitaa yetu ambapo tupo kando kando kitaapita mida ya saa tisa mchana yani 3:PM na kinatarajiwa kuungana na vimbunga vingine viwili kutoka kaskazini na kusababisha hali mbaya ya hewa itakayotanda kwa upana wa kilomita 1,200 na kuathiri wakazi milioni 60.
On its way: A car plows through a flooded street in Norfolk, Virginia after the impact of Hurricane Sandy
Mitaa ya Norfolk, Virginia nako tayari kumeshazongwa na wimbi la Hurricane Sandy
Rising: Pieces of the boardwalk float in sections through the flooded streets of Atlantic City - which is expected to get the brunt of the storm tonight
Atlantic City nako kumeshafamiwa na kimbunga kinachoendelea hivi sasa!

Group work: Pedestrians come to the aid of a motorist stuck on a flooded-out road along the shoreline area of Milford, Connecticut
Wakaazi wa mji wa Milford, Connecticut wakionekana kusukuma gari lililonasa katika Maji yaliosababishwa na Kimbunga kinachoendelea baadhi  maeneo ya mashariki mwa Marekani.

Felled: A broken tree is seen during winds as the Path Station starts to get flooded in Hoboken, New Jersey
Mti uliopata dharupa ya kimbunga katika mitaa ya Hoboken,jijini New Jersey
Hali inazidi kutia simazi dhidi ya dharuba ya kimbunga kikali kinachoendelea Maeneo mwa Mashariki mwa Marekani hii hapa picha ya nyumba ilioelemewa na Mti mkubwa katika maeneo Delaware County, Jijini Pennsylvani Bado kimbunga kina katiza Jimbo hadi Jimbo

Taken off: A trampoline becomes caught in the power lines on Norman Drive in Long Island as Hurricane Sandy gathers speed
Kama manavyoona pichani Trampoline limechukuliwa juu kwa juu kwa dharuba kali na kunasa kwenye nyaya za umeme  huko, Long Island wakati Kimbunga Sandy kinazidi kuendele kingia Jimbo hadi Jimbo
  
New York: Manhattan Midtown crane lipo hatarini kuanguka kutoka juu kwenye skyscraper Mitaa ya 157 W. 57th Jijini Manhattan. Limebaki kuangaliwa na kusubiri hatma yake itafukaji


Kimbunga Sandy kinazidi kutia hasara katika maeneo mbali mbali likiwemo eneo la, 14th Street and Eighth Avenue ukuta wa mbele wa apartment hiyo kuaanguka usiku wa jana.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...