Skip to main content

Kenya kuzuia hotuba za chuki wakati uchaguzi unakaribia





Na Rajab Ramah, Nairobi

Serikali ya Kenya imeweka miongozo mikali ya kikemea hatuba za chuki wakati nchi inajitayarisha kufanya uchaguzi mkuu mwezi Machi.

Katibu Mkuu wa Baraza la maimamu na Wahubiri wa Kenya Sheikh Mohamed Dor akifikishwa katika mahakama ya Mombasa hapo tarehe 18 Oktoba ambako alishitakiwa kwa kuchochea vurugu. [Na AFP]

Sheria hizo mpya, zinazoitwa "Miongozo ya Kuzuia Upelekaji wa Ujumbe wa Siasa Usiotakiwa kupitia Mitandao ya Mawasiliano ya Elektroniki", zilitangazwa mjini Nairobi siku ya Jumatano (tarehe 24 Oktoba).

Miongozo hiyo itasimamia ujumbe zinazotumwa kupitia simu za mikononi pamoja na usambazaji wake katika mitandao ya kijamii ili kuhakikisha hakuna ujumbe za kuchokoza au kushawishi unatumwa katika Twitter au Facebook, alisema Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari na Mawasiliano Bitange Ndemo.

Miongozo hiyo inawataka wanasiasa kupeleka maandiko ya ujumbe wa kampeni zao na matangazo ya kisiasa kwa ajili ya kuchunguzwa angalau siku mbili kabla haijatumwa, kusemwa au kutangazwa kwa umma.

Tume ya Taifa ya Maelewano na Maingiliano, Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, Tume ya Mawasiliano ya Kenya (CCK), polisi na sekta nzima ya mawasiliano ya simu, ambazo zilitoa miongozo hiyo, zitasaidia ili kuimarisha miuongozo hiyo, Ndemo alisema.

"Wale watakaokiuka kanuni hizi watapelekwa jela," Ndemo aliiambia Sabahi. Alisema kuwa mtu yeyote atakayetuma ujumbe za kutishia, kutukana, kunyanyasa na ujumbe za uchochezi zenye uwezo kuchochea chuki za kikabila kwa kutumia simu za mikononi na wale wanaovunja sheria za kisiasa watakabiliwa na adhabu ya faini ya shilingi milioni 1 (dola 11,700), muda wa jela hadi miaka mitatu, au yote mawili.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...