Skip to main content

Kenya kuzuia hotuba za chuki wakati uchaguzi unakaribia





Na Rajab Ramah, Nairobi

Serikali ya Kenya imeweka miongozo mikali ya kikemea hatuba za chuki wakati nchi inajitayarisha kufanya uchaguzi mkuu mwezi Machi.

Katibu Mkuu wa Baraza la maimamu na Wahubiri wa Kenya Sheikh Mohamed Dor akifikishwa katika mahakama ya Mombasa hapo tarehe 18 Oktoba ambako alishitakiwa kwa kuchochea vurugu. [Na AFP]

Sheria hizo mpya, zinazoitwa "Miongozo ya Kuzuia Upelekaji wa Ujumbe wa Siasa Usiotakiwa kupitia Mitandao ya Mawasiliano ya Elektroniki", zilitangazwa mjini Nairobi siku ya Jumatano (tarehe 24 Oktoba).

Miongozo hiyo itasimamia ujumbe zinazotumwa kupitia simu za mikononi pamoja na usambazaji wake katika mitandao ya kijamii ili kuhakikisha hakuna ujumbe za kuchokoza au kushawishi unatumwa katika Twitter au Facebook, alisema Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari na Mawasiliano Bitange Ndemo.

Miongozo hiyo inawataka wanasiasa kupeleka maandiko ya ujumbe wa kampeni zao na matangazo ya kisiasa kwa ajili ya kuchunguzwa angalau siku mbili kabla haijatumwa, kusemwa au kutangazwa kwa umma.

Tume ya Taifa ya Maelewano na Maingiliano, Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, Tume ya Mawasiliano ya Kenya (CCK), polisi na sekta nzima ya mawasiliano ya simu, ambazo zilitoa miongozo hiyo, zitasaidia ili kuimarisha miuongozo hiyo, Ndemo alisema.

"Wale watakaokiuka kanuni hizi watapelekwa jela," Ndemo aliiambia Sabahi. Alisema kuwa mtu yeyote atakayetuma ujumbe za kutishia, kutukana, kunyanyasa na ujumbe za uchochezi zenye uwezo kuchochea chuki za kikabila kwa kutumia simu za mikononi na wale wanaovunja sheria za kisiasa watakabiliwa na adhabu ya faini ya shilingi milioni 1 (dola 11,700), muda wa jela hadi miaka mitatu, au yote mawili.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.