Skip to main content

Kukataa Posho Ilikuwa Unafiki


Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia CCM Mhe Peter Serukamba amesema suala la baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupinga posho lilikuwa ni unafiki. Serukamba aliyasema hayo katika kipindi cha Makutano kinachoendeshwa na Fina Mango kupitia Magic FM. Fina aliuliza moja ya swali kutoka kwa wasilizaji ambapo alisema biashara ya kukataa posho ni unafiki tu huku akimwambia Fina ataje mbunge gani karudisha au kukataa posho, alisema "Tumeongezewa mafuta tumechukua, tumeongezewa vingine tumechukua hakuna ambaye amerudisha na next day ilipokuwa confirmed wengine wakaanza kukopa" huku akisema hakuna umuhimu wa kupinga posho za wabunge badala yake wabunge waombe serikali iwaongezee posho na watumishi wengine. Alipoulizwa kwa nini wasiiombe serikali ianze na sehemu nyingine kabla ya kuwaongezea mshahara wabunge akitolea mfano wa shirika la ndege la taifa ATCL Serukamba alijibu kuwa siku zote binadamu anaanza na "mimi" kabla hujawafikiria wengine akikumbushia siku alivyopendekeza kama bunge lifungwe kama watu hawataki wabunge wapokee posho na kuishia kushambuliwa kupitia mitandao ya kijamii. Serukamba aliongezea kusema kuwa bunge la Tanzania ni kati ya mabunge yanayolipa hela ndogo sana watumishi wake ambazo ni milioni mbili tu kwa mwezi bila posho na kusema wanazidiwa na bunge la nchi ya Burundi wanaolipwa dola 4,500 za Marekani. Alimalizia kwa kusema jukumu la wabunge libaki kuwa kutekeleza wajibu wao wa kibunge ambao ni kutunga sheria na kuisimamia serikali itekeleze wajibu wake. Photo Caption 1. Mhe Peter Serukamba akikongea katika kipindi cha Makutano.Mjengwa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.