Skip to main content

Uholanzi Inaendeleaza Mipango yake ya kusaidia Mataifa Manane machanga Ulimwenguni.


Na Othman Khamis Ame
Serikali ya Uholanzi inakusudia kuunga mkono harakati za Kiuchumi na Maendeleo katika Mpango wake wa kusaidia Mataifa Manane machanga Ulimwenguni.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akibadilishana mawazo na Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Dr. Ad Koek Koek hapo Ofisini kwake Mtaa wa Vuga Mjini Zabzibar.
Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Dr. Ad Koek Koek alieleza hayo wakati alipokuwa akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi hapo Ofisini kwake Mtaa wa Vuga Mjini Zanzibar.
Balozi Koek Koek alisema Mataifa hayo manane yaliyoko Latin Amerika pamoja na Afrika Tanzania ikiwa miongoni mwake yanatarajiwa kufaidika na Mpango utakaohusisha miradi ya pamoja kati ya Makampuni ya Uholanzi na yale ya Mataifa Washirika.
Aliitaja miradi hiyo kuwa ni pamoja na utengenezaji wa Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja, Uwanja wa Ndege sambamba na Miundo mbinu ya Bara bara ambapo utekelezaji wake utaanza mwezi julai mwaka 2013 mara baada ya kukamilika kwa tathmini pamoja na Bajeti ya Mpango huo.
“Tumependekeza katika kusaidia kunyanyua Uchumi wa Mataifa Rafiki tumeonelea ni vyema Miradi itakayoanzishwa iwe katika mfumo wa ubia kwa lengo la kuyapa nguvu za Kiuchumi Makampuni na Taasisi za kizalendo”. Alifafanua Balozi Koek Koek.
“ Kitu kitakachozingatiwa zaidi katika mpango huo muhimu ni kuhakikisha wawekezaji wa Makampuni ya pande hizo mbili yanadumisha Ushirikiano wa karibu zaidi”. Aliendelea kusisitiza Balozi Koek Koek.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.