Skip to main content

Uholanzi Inaendeleaza Mipango yake ya kusaidia Mataifa Manane machanga Ulimwenguni.


Na Othman Khamis Ame
Serikali ya Uholanzi inakusudia kuunga mkono harakati za Kiuchumi na Maendeleo katika Mpango wake wa kusaidia Mataifa Manane machanga Ulimwenguni.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akibadilishana mawazo na Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Dr. Ad Koek Koek hapo Ofisini kwake Mtaa wa Vuga Mjini Zabzibar.
Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Dr. Ad Koek Koek alieleza hayo wakati alipokuwa akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi hapo Ofisini kwake Mtaa wa Vuga Mjini Zanzibar.
Balozi Koek Koek alisema Mataifa hayo manane yaliyoko Latin Amerika pamoja na Afrika Tanzania ikiwa miongoni mwake yanatarajiwa kufaidika na Mpango utakaohusisha miradi ya pamoja kati ya Makampuni ya Uholanzi na yale ya Mataifa Washirika.
Aliitaja miradi hiyo kuwa ni pamoja na utengenezaji wa Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja, Uwanja wa Ndege sambamba na Miundo mbinu ya Bara bara ambapo utekelezaji wake utaanza mwezi julai mwaka 2013 mara baada ya kukamilika kwa tathmini pamoja na Bajeti ya Mpango huo.
“Tumependekeza katika kusaidia kunyanyua Uchumi wa Mataifa Rafiki tumeonelea ni vyema Miradi itakayoanzishwa iwe katika mfumo wa ubia kwa lengo la kuyapa nguvu za Kiuchumi Makampuni na Taasisi za kizalendo”. Alifafanua Balozi Koek Koek.
“ Kitu kitakachozingatiwa zaidi katika mpango huo muhimu ni kuhakikisha wawekezaji wa Makampuni ya pande hizo mbili yanadumisha Ushirikiano wa karibu zaidi”. Aliendelea kusisitiza Balozi Koek Koek.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...