Skip to main content

Tuwe Na Tahadhari Tunapoongelea Muungano-Shivji


MWENYEKITI wa Kigoda cha Mwalimu Profesa Issa Shivji amesema suala la Muungano linapaswa kuangaliwa kwa umakini na kwamba likiachwa kama lilivyo, linaweza kuliingia taifa katika matatizo makubwa.Profesa Shivuji alitoa onyo hilo jana, alipokuwa akizungumza katika mjadala wa Kigoda cha Mwalimu Nyerere, kilichofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Mkwawa, mjini Iringa. Kauli hiyo ilikuja baada ya wachangiaji wengi katika mjadala huo kutaka Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uvunjwe. “Haya tunayoyajadili ndiyo maneno wanayozungumza wananchi, suala la Muungano lisipuuzwe linapaswa kujadiliwa kwa kina, tusipofanya hivyo madhara yake ni makubwa kwani linaweza kutuingiza kwenye vurugu,”alisema Profesa Shivji. Shivji alionya kuwa suala hilo likiachwa bila kujadiliwa na wananchi wakizuiwa na kutishwa, ili wasijadili Muungano, linaweza kutoa mwanya kwa mataifa yasiyoitakia mema Tanzania kuingia na kuvuruga amani iliyopo. Akuzungumzia haja na umuhimu wa kuajdili Muungano, Profesa Shivuji alisema kwa hali ilivyo sasa, ni muhimu watu kuujadili hasa ikizingatiwa kuwa muungano wa sasa ulihusha viongozi kwa lengo la kulinda maslahi binafsi. Mchokaza mada hiyo, alipendekeza wajumbe kujadili kwa kujibu hoja mbili kuhusu namna ya Muungano wanaoutaka na pia kama mchakato wa kuandika katiba mpya una manufaa kwao. Kuhusu mchakato wa katiba, Profesa Shivji alisema mchakato huo bado unaweza usiwe na matunda kutoka na mafumo muundo wa Bunge maalumu la katiba kutotofautina na ule wa mwaka 1977. Katika mjadala huo, Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai wa Serikali ya Mapinduzi Zanziba, Ibrahim Mzee Ibrahim, aliingia katika malumbano ya kimslahi na mwandishi mkongwe nchini Jenerali Ulimwengu, kila moja akitetea upande wake. Ibrahimu akizungumza katika mjadala huo alisema kuna ripoti inayoonyesha kuwa maslahi yatokanayo na Muungano ni makubwa kuliko matumizi yake lakini hadi sasa hakuna akaunti ya pamoja iliyoundwa kwa ajili ya kuweka fedha hizo. “Ingawa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 imesema wazi kuhusu kuundwa kwa mfuko wa pamoja na kuwe na akaunti ya kuweka fedha zatokanazo na Muungano lakini hadi leo hakuna kitu hicho, kuna ripoti inaonyesha kuwa mapato yatokanayo na Muungano ni mkubwa kuliko matumizi lakini upande wa bara unakataa kusomwa kwa ripoti hiyo,”alisema Mzee. Mzee alifafanua kuwa ukiachilia mbali tatizo hilo la kiuchumi, pia kuna tatizo la muundo wa Bunge la kupitisha katiba mpya aliodai halijatofautina na mabunge ya namna hiyo yaliyotengeza katiba zilizopita ikiwamo ya mwaka 1977 inayotumika sasa. Kwa upande wake, Ulimwengu alikubalina na Mzee juu ya kuwapo kwa fedha katika Serikali ya Muungano, lakini alitetea kuwa bara haiinyonyi Zanzibar. Katika mjadala huo, Ulimwengu alipendekeza watanzania kuendelea na mjadala juu ya Muungano lengo likiwa kushinikiza viongozi kukubaliana na aina ya muungano wanaotaka. “Mimi sisemi muungano uvunjwe,kama mpangilio utakuwa mzuri wananchi wa Tanganyika na Zanzibar ni ndugu na wanaweza kunufaika na muungano huo, lakini kama juhudi zote za kuboreha Muunngano zitashindikana basi kama walivyosema uvunjwe itabidi iwe hivyo,”alisema Ulimwengu 
Chanzo Mwananchi.Inatokakwa Mjengwa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...