Skip to main content

HASSANALI KUIWAKILISHA TANZANIA MAONYESHO YA MAVAZI AFRIKA KUSINI



Mbunifu maarufu wa mavazi kutoka Tanzania, Mustafa Hassanali ndiye Mtanzania pekee katika fani ya mitindo aliyepewa mualiko wa kushiriki katika maonyesho ya Wiki ya Mitindo Afrika chini ya African Fashion International (AFI) yatakayofanyika kwa siku nne kuanzia tarehe 24-28 Oktoba, 2012 katika ukumbi wa Melrose Arch, jijini Johannesburg, Afrika ya Kusini.
Mashindano hayo yanayodhaminiwa na kampuni ya kutengeneza Magari ya Mercedes-Benz yanatarajiwa kuwashirikisha wabunifu wa mavazi zaidi ya 35 kutoka sehemu mbalimbali barani Afrika, baadhi ya nchi hizo ni wenyeji Afrika ya Kusini, Ivory Coast, Morocco, Msumbiji, Cameroon, Rwanda, Angola, DRC, Nigeria, Ghana na Tanzania.
“Ni maonyesho ya pekee na yenye heshima yake barani Afrika na hata duniani kwa ujumla kwani wabunifu walioalikwa ni wazoefu na bora katika fani ya Mitindo barani Afrika. Hivyo mwaliko wangu si tu utaweza kutangaza kazi ni nazofanya bali pia utasaidia kutangaza nchi yetu ya Tanzania kupitia maonyesho haya” Alisema, Mustafa Hassanali.
“Watakapotaja jina langu pale katika maonyesho, hawatasema tu huyu ni Mustafa Hassanali, bali watasema huyu ni Mustafa Hassanali kutoka Tanzania, hivyo itakuwa ni mchango mkubwa kwa nchi yetu kuweza kuonyesha fursa zilizopo kupitia Ubunifu wa Mitindo. Nimejiandaa vizuri katika haya maonyesho, nataka kuonyesha nini Tanzania tunacho katika tasnia ya ubunifu kwa ulimwengu mzima ni imani yangu kufanya vizuri” aliongeza Hassanali.
AFI inaandaa mashindano haya ili kuweza kutangaza kazi za wabunifu wa mavazi kutoka barani Afrika katika soko la dunia kwani Afrika ina wabunifu wazuri na imara hivyo kujitokeza kwao katika maonyesho haya kutafungua milango zaidi katika soko la kimataifa na kuongeza fursa nyingi zitakazoinua uchumi wa bara hili kupitia sanaa ya ubunifu wa mitindo.
Licha ya kushiriki katika maonyesha haya, Mustafa Hassanali pia anawaomba Watanzania wote kwa ujumla kuweza kumpigia kura ya kuwa mwanamitindo bora barani Afrika kupitia tovuti ya www.awardnomination.afi.za.com na kuweza kuiletea sifa tasnia ya mitindo nchini Tanzania.
Huu ni mwaka wa tisa kwa Mustafa Hassanali kupata mwaliko wa kuonyesha ubunifu wake katika maonyesho haya. Ameshashiriki katika maonyesho zaidi ya nchi 16 katika miji 25 tofauti duniani, amekuwepo katika kilinge cha sanaa ya mitindo kwa muda mrefu hapa nchini, amechangia kwa kiasi kikubwa mabadiliko na maendeleo ya kazi za ubunifu wa mavazi hapa Tanzania.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...