Skip to main content

Viongozi wa Kikiristo, Kiislamu wahamasisha mazungumzo huko Wajir


Viongozi wa kidini wa Kikiristo na Kiislamu wamesema kuwa wanataka kufanya mkutano wa dini za imani mbalimbali mwishoni mwa mwaka kuhamasisha uelewa na kusaidia kuondoa mtindo hasi usiobadilika na usio sahihi.
Viongozi wa Kikiristo na Kiislamu wanafanya kazi kuhamasisha mazungumzo ya imani mbalimbali baada ya shambulio katika kanisa huko Jijini Nairobi lililomuua mtoto mmoja. [Simon Maina/AFP]
Viongozi kumi na watano kutoka makanisa mbalimbali ya kikiristo walikusanyika huko Wajir tarehe 26 Septemba kujadili kwa ufasaha na wananchi kuhusu Uislamu na kuhimiza mazungumzo ya heshima na ya amani na Waislamu katika wilaya hiyo.
Viongozi hao, ambao ni sehemu ya Ushirika wa Wakiristo wa Wajir, waliitisha mkutano huo kujibu filamu ya utata inayopinga Uislamu, "Innocence of Muslims", ambayo ilichochea upingaji wenye vurugu katika nchi kadhaa zenye idadi kubwa ya Waislamu.
Kutokana na mkutano huo, Wakiristo na Waislamu wamepanga kufanya mkutano wa dini za imani mbalimbali, kwa mujibu wa Mchungaji Eustus Nyagah wa Kanisa la Pentekoste la Afrika Mashariki huko Wajir. Mkutano huo unadhamiria kuwaleta watu pamoja kubadilishana mawazo kwa namna ya heshima na kusaidia kuondoa chuki, aliiambia Sabahi.
Alisema wenye siasa kali za kidini kwa pande zote mbili wanapaswa kuhukumiwa binafsi na siyo kuonekana kama taswira ya dini ya imani hiyo yote. "Kwa nini jamii kubwa inasumbuliwa kwa sababu ya vitendo au chuki za mtu binafsi mmoja? Huo ni utovu wa hali ya juu wa ustahimilivu na hatupaswi kuukubali," alisema.
Nyagah alilalamikia shambulio la guruneti la terehe 30 Septemba ambalo lilimuua mtoto mmoja na kujeruhi watu wengine tisa katika kanisa la Anglikani la Mtakatifu Polycarp katika wilaya ya Pangani jijini Nairobi, pamoja na vitendo vya vurugu vinavyowalenga wenye asili ya Kisomali baada ya mlipuko huo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...