Skip to main content

MAJAMBAZI WALIONIPORA NI MASHABIKI WANGU-JULIET





ACCRA, Ghana
MCHEZA filamu Juliet Ibrahim wa Ghana amesema majambazi
yaliyompora vitu vyenye thamani mbali mbali nyumbani kwake, ni
mashabiki wake wakubwa.
Juliet amewaelezea majambazi hao kuwa ni mashabiki wake
kutokana na kutomdhuru yeye na familia yake.
Baadhi ya vyombo vya habari viliripoti hivi karibuni kuwa, Juliet
alikutwa na mkasa huo kwenye uwanja wa ndege wa Accra wakati
alipokuwa akirejea kutoka safarini Marekani.
Hata hivyo, Juliet alisema si kweli kwamba tukio hilo lilitokea
uwanja wa ndege. Alisema majambazi hao walimpora baada ya
kufika nyumbani kwake.
Alisema katika tukio hilo, majambazi hao walipora simu zao za
mkononi na pesa taslim, lakini hakuwa tayari kutaja thamani yake.
"Napenda kila mmoja afahamu kwamba, nipo katika hali nzuri mimi
na familia yangu na tukio la kuporwa lilitokea nyumbani, si uwanja
wa ndege,"alisema.
Kwa mujibu wa Juliet, tukio hilo lilitokea saa tatu usiku wakati
umeme ulipokuwa umekatika katika maeneo mengi ya Jiji la Accra.
"Kama kungekuwa na mwangaza, tungeweza kuwaona majambazi
hao walipoegesha gari lao jeusi. Nadhani katika kipindi hiki, kuna
matukio mengi yatakayotokea kwa sababu ya tatizo la kukatika kwa
umeme nchi nzima,"aliongeza.
Aliongeza kuwa, anachoshukuru ni kwamba yeye na familia yake
hawakupata madhara yoyote wakati wa tukio hilo.
"Natumaini majambazi hawa watakuwa wakisoma ujumbe huu.
Napenda kusema asante kwao kwa kutimiza maneno yao ya
kutoidhuru familia yangu. Ni mashabiki wazuri kwangu,"alisema
Juliet.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...