Skip to main content

OMOTOLA: NOLLYWOOD SASA NI HABARI NINYINGINE HOLLYWOOD

Achengua mashabiki katika uzinduzi wa filamu yake mpya ya Amina LONDON, Uingereza
MCHEZA filamu nyota wa kike wa Nigeria, Omotola Jalade amesema fani hiyo inaweza kupiga hatua kubwa zaidi kimaendeleo kuliko Marekani.
Omotola alisema hayo mwishoni mwa wiki iliyopita alipokuwa akihojiwa katika kipindi cha Focus on Africa kilichorushwa hewani na kituo cha televisheni cha BBC.
Mwanadada huyo mwenye sura na umbo lenye mvuto alisema, kwa sasa Wanigeria (Nollywood) wamepiga hatua kubwa katika fani ya filamu na wanakaribia kuwapiku Wamarekani (Hollywood).
Alisema hilo linatokana na kiwango cha filamu za Kinigeria kuwa juu na kukubalika na mashabiki wengi katika sehemu mbali mbali duniani.
Omotola alisema kwa sasa, filamu za Kinigeria zinaweza kuingia kwenye ushindani na zile za Hollywood.
Mwanadada huyo, ambaye ni mama wa watoto wanne, aliwekuwepo mjini London kwa ajili ya uzinduzi wa filamu yake mpya, inayojulikana kwa jina la Amina.
Uzinduzi wa filamu hiyo ulihudhuriwa na wasanii mbali mbali wa fani hiyo kutoka barani Afrika na Ulaya na kuwa na mvuto wa aina yake.
Mara baada ya kuteremka kwenye gari karibu na eneo la uzinduzi, Omotola alitembea kwenye zulia jekundu hadi ukumbini, ambako filamu hiyo ilionyeshwa kwa wageni mbali mbali.
Omotola alikuwa kivutio kikubwa kwa wageni hao kutokana na kuvalia gauni lenye thamani kubwa, lililonakshiwa kwa vitu mbali mbali vya kumeremeta na kumfanya aonekane kama vile malkia.
Baadhi ya mapaparazi waliohudhuria uzinduzi huo walikuwa wakihaha kupata picha za mwanadada huyo, ambaye hakuwa na hiyana zaidi ya kuwapa pozi za aina mbali mbali.
Omotola amecheza filamu hiyo akiwa mwigizaji mkuu. Filamu hiyo imemwezesha kushinda tuzo ya BEFFTA.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...