Skip to main content

OMOTOLA: NOLLYWOOD SASA NI HABARI NINYINGINE HOLLYWOOD

Achengua mashabiki katika uzinduzi wa filamu yake mpya ya Amina LONDON, Uingereza
MCHEZA filamu nyota wa kike wa Nigeria, Omotola Jalade amesema fani hiyo inaweza kupiga hatua kubwa zaidi kimaendeleo kuliko Marekani.
Omotola alisema hayo mwishoni mwa wiki iliyopita alipokuwa akihojiwa katika kipindi cha Focus on Africa kilichorushwa hewani na kituo cha televisheni cha BBC.
Mwanadada huyo mwenye sura na umbo lenye mvuto alisema, kwa sasa Wanigeria (Nollywood) wamepiga hatua kubwa katika fani ya filamu na wanakaribia kuwapiku Wamarekani (Hollywood).
Alisema hilo linatokana na kiwango cha filamu za Kinigeria kuwa juu na kukubalika na mashabiki wengi katika sehemu mbali mbali duniani.
Omotola alisema kwa sasa, filamu za Kinigeria zinaweza kuingia kwenye ushindani na zile za Hollywood.
Mwanadada huyo, ambaye ni mama wa watoto wanne, aliwekuwepo mjini London kwa ajili ya uzinduzi wa filamu yake mpya, inayojulikana kwa jina la Amina.
Uzinduzi wa filamu hiyo ulihudhuriwa na wasanii mbali mbali wa fani hiyo kutoka barani Afrika na Ulaya na kuwa na mvuto wa aina yake.
Mara baada ya kuteremka kwenye gari karibu na eneo la uzinduzi, Omotola alitembea kwenye zulia jekundu hadi ukumbini, ambako filamu hiyo ilionyeshwa kwa wageni mbali mbali.
Omotola alikuwa kivutio kikubwa kwa wageni hao kutokana na kuvalia gauni lenye thamani kubwa, lililonakshiwa kwa vitu mbali mbali vya kumeremeta na kumfanya aonekane kama vile malkia.
Baadhi ya mapaparazi waliohudhuria uzinduzi huo walikuwa wakihaha kupata picha za mwanadada huyo, ambaye hakuwa na hiyana zaidi ya kuwapa pozi za aina mbali mbali.
Omotola amecheza filamu hiyo akiwa mwigizaji mkuu. Filamu hiyo imemwezesha kushinda tuzo ya BEFFTA.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.