Skip to main content

SIMBA YAITOA NISHAI AZAM, YANGA YAPAA




SIMBA jana iling'ara katika michuano ya soka ya ligi kuu ya Tanzania Bara baada ya kuichapa Azam mabao 3-1 katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mshambuliaji Emmanuel Okwi kutoka Uganda ndiye aliyeing'arisha Simba baada ya kuifungia mabao mawili kati ya matatu. Bao lingine lilifungwa na Felix Sunzu.
Azam ilikuwa ya kwanza kupata bao kupitia kwa mshambuliaji wake nyota, John Bocco, ambaye alishindwa kuendelea na mchezo baada ya kuumia dakika ya 20.
Ushindi huo uliiwezesha Simba kuendelea kuongoza ligi hiyo ikiwa na pointi 22 baada ya kucheza mechi 10, ikifuatiwa na Yanga yenye pointi 20 na Azam yenye pointi 18.
Yanga ilichupa nafasi ya pili baada ya jana kuichapa JKT Oljoro bao 1-0 katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha.
Bao pekee na la ushindi la Yanga lilifungwa na beki wa kimataifa wa Rwanda, Mbuyu Twite.
Katika mechi zingine za ligi hiyo zilizochezwa jana, African Lyon ilitoka sare ya bao 1-1 na Kagera Sugar kwenye uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam, Ruvu Shooting iliichapa Polisi Morogoro mabao 2-1 kwenye uwanja wa Mabatini, Mlandizi, Pwani.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...