Skip to main content

RUFAA YA UBUNGE WA SUMBAWANGA ULIOTENGULIWA YATUPWA


Na James Magai
Aliyekuwa Mbunge wa Sumbawanga Mjini 
Aeshi Hilaly

CHAMA Cha Mapinduzi(CCM), kimepata pigo jingine kisiasa baada ya Mahakama ya Rufani kutupilia mbali rufaa ya aliyekuwa Mbunge wa Sumbawanga Mjini, Aeshi Hilaly ambaye alivuliwa wadhifa huo na Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga.

Pigo hilo limekuja miezi miwili baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Tabora, kutengua matokeo ya ubunge Jimbo la Igunga yaliyompa ushindi mgombea wake, Dk Dalaly Peter Kafumu, Agosti 21, mwaka huu.
Rufaa ya Hilaly ilitupiliwa mbali katika uamuzi uliotolewa na jopo la majaji watatu, Januari Msoffe, Edward Rutakangwa na Engela Kileo, baada ya kubaini kasoro za kisheria.
Dosari hiyo ni kutokuwapo kwa mwenendo wa maombi ya mlalamikaji katika kesi ya msingi ya kuomba Mahakama impangie kiwango cha fedha ambacho alipaswa kulipa ikiwa ni amana ya kufungua kesi hiyo, kwa mujibu wa Kifungu cha 111 (3) cha Sheria ya Uchaguzi ya mwaka 2010.
Katika uamuzi uliosomwa na Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufani, Zahra Maruma, mahakama hiyo ilirejea kifungu na kusema mtu anayefungua kesi ya uchaguzi, ni lazima awasilishe maombi ili Mahakama impangie kiwango cha amana anachopaswa kulipa ndani ya siku 14 tangu kufungua kesi na kwamba ndani ya siku 14 nyingine tangu siku ya maombi hayo, Mahakama hiyo iwe imeshapanga kiwango hicho.
Jopo hilo la majaji likielezea umuhimu wa mwenendo huo, lilisema ni muhimu kwa sababu kuu mbili, moja ni kuipa nafasi Mahakama kuona kama maombi yaliwasilishwa ndani ya muda baada ya kesi kufunguliwa na pili ni kuona kama maombi hayo yaliamuliwa ndani ya muda tangu kuwasilishwa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.