Kupigwa kwa bomu nyumbani kwa Katibu wa Bakwata Mkoa wa Arusha Abdul
Kareem Jonjo. Baadhi ya vongozi wa ulinzi na usalama Mkoa wa Arusha
wakiongozwa na mkuu wa Mkoa wa Arusha wakiwa kwenye matukio mbali mbali
nyumbani na hospitalini jijini hapa leo baada ya tukio la kupigwa kwa
bomu kwa katibu huyo nyumbani kwake eneo la Mtaa wa Kanisani Kata ya
Sokon 1 jijini hapa.
(Picha na zote na Mahmoud Ahmad)
(Picha na zote na Mahmoud Ahmad)
Comments