Skip to main content

Mali inataka msaada wa jeshi la kimataifa kuidhibiti sehemu ya kaskazini


Mkutano wa Umoja wa Mataifa New York
Mali imeuomba Umoja wa Mataifa utoe kibali cha haraka kwa jeshi la kimataifa liisaidie serikali ya nchi hiyo izidhibiti tena sehemu za kaskazini ya nchi hiyo.
Habari hiyo imetolewa na waziri wa mambo ya kigeni wa Ufaransa, Laurent Fabius.
Nchi hiyo ya Afrika magharibi ilitumbukia katika michafuko mwezi Machi mwaka huu, pale wanajeshi walipompindua kutoka madarakani rais, hivyo kuweko pengo wazi la madaraka. Hali hiyo iliwawezesha waasi wa Ki-Tuareg kutwaa thuluthi mbili ya nchi hiyo. Lakini makundi ya kiislamu, baadhi yao yakiwa na ushirikiano na mtandao wa Al-Qaeda, yaliuteka nyara uasi huo katika sehemu za kaskazini ya nchi na kuanzisha kutekelezwa sheria za kiislamu.
Akiiashiria barua iliopelekwa na viongozi wa mpito wa Mali kwa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, hapo Septemba 18, Laurent Fabius alisema Mali imeomba lipitishwe azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa chini ya Ibara ya Saba ya Hati ya Umoja huo ili kutolewe kibali cha kutumiwa jeshi la kimataifa lilisaidie jeshi la Mali kuyateka tena maeneo ya kaskazini mwa Mali. Ibara hiyo ya Saba inaliruhusu baraza la usalama litoe kibali cha kuchukuliwa hatua kutoka zile za kibalozi na za kiuchumi hadi kujiingiza kijeshi.
Laurent Fabius, akiisoma barua hiyo, aliwaambia waandishi wa habari kwamba kwa miezi kadha Mali imekuwa ikikabiliwa na mzozo wa usalama usiowahi kuonekana kabla katika maeneo yake ya kaskazini ambayo yametawaliwa na makundi yenye silaha, wakiwemo magaidi, wasafirishaji wa mihadharati na aina zote za wahalifu. Alisema serikali ya Mali inataka jeshi la aina hiyo lipelekwe kwa haraka ili kuyasaidia majeshi ya usalama ya Mali kutekeleza shughuli hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.