Skip to main content

Mali inataka msaada wa jeshi la kimataifa kuidhibiti sehemu ya kaskazini


Mkutano wa Umoja wa Mataifa New York
Mali imeuomba Umoja wa Mataifa utoe kibali cha haraka kwa jeshi la kimataifa liisaidie serikali ya nchi hiyo izidhibiti tena sehemu za kaskazini ya nchi hiyo.
Habari hiyo imetolewa na waziri wa mambo ya kigeni wa Ufaransa, Laurent Fabius.
Nchi hiyo ya Afrika magharibi ilitumbukia katika michafuko mwezi Machi mwaka huu, pale wanajeshi walipompindua kutoka madarakani rais, hivyo kuweko pengo wazi la madaraka. Hali hiyo iliwawezesha waasi wa Ki-Tuareg kutwaa thuluthi mbili ya nchi hiyo. Lakini makundi ya kiislamu, baadhi yao yakiwa na ushirikiano na mtandao wa Al-Qaeda, yaliuteka nyara uasi huo katika sehemu za kaskazini ya nchi na kuanzisha kutekelezwa sheria za kiislamu.
Akiiashiria barua iliopelekwa na viongozi wa mpito wa Mali kwa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, hapo Septemba 18, Laurent Fabius alisema Mali imeomba lipitishwe azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa chini ya Ibara ya Saba ya Hati ya Umoja huo ili kutolewe kibali cha kutumiwa jeshi la kimataifa lilisaidie jeshi la Mali kuyateka tena maeneo ya kaskazini mwa Mali. Ibara hiyo ya Saba inaliruhusu baraza la usalama litoe kibali cha kuchukuliwa hatua kutoka zile za kibalozi na za kiuchumi hadi kujiingiza kijeshi.
Laurent Fabius, akiisoma barua hiyo, aliwaambia waandishi wa habari kwamba kwa miezi kadha Mali imekuwa ikikabiliwa na mzozo wa usalama usiowahi kuonekana kabla katika maeneo yake ya kaskazini ambayo yametawaliwa na makundi yenye silaha, wakiwemo magaidi, wasafirishaji wa mihadharati na aina zote za wahalifu. Alisema serikali ya Mali inataka jeshi la aina hiyo lipelekwe kwa haraka ili kuyasaidia majeshi ya usalama ya Mali kutekeleza shughuli hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...