Skip to main content

Taarifa Kwa Umma- Jeshi La Polisi Lakanusha Watoto Kuhudhuria Shule Wakiwa Gerezani Kwimba



JESHI LA MAGEREZA LAKANUSHA HABARI YA WATOTO KUHUDHURIA SHULE WAKIWA GEREZANI KWIMBA.

Na: Veronica Kazimoto – MAELEZO
Dar es Salaam
4/09/2012.
Jeshi la Magereza nchini limekanusha habari kuwa kuna watoto katika Gereza la Wilaya ya Kwimba wanaoenda shule na kurudi gerezani kuungana na familia yao.
Taarifa iliyotolewa na Kaimu Kamishna Jenerali wa jeshi la Magereza nchini Fideli Mboya, kufuatia habari iliyotolewa na Gazeti moja la kila siku hapa nchini, kuwa kuna watoto Gereza la Kwimba ambao wanahudhuria masomo huku wao na wazazi wao wakiwa gerezani.
“Yote yaliyoelezwa kwenye habari hiyo yana ukweli isipokuwa suala la watoto kuhudhuria masomo wakati wakiwa gerezani,ukweli ni kwamba hakuna watoto wanaotoka gerezani hapo kwenda shule na kurudi gerezani”, imeeleza taarifa hiyo.
Taarifa hiyo ya jeshi la Magereza nchini imeeleza kuwa, kuna familia ya watu watano baba, mama na watoto watatu wenye umri wa miaka 20, 19 na 1 ambao wote ni washtakiwa wa kesi ya mauaji isipokuwa huyo wa umri wa mwaka mmoja.
Katika taarifa yake kaimu Kamishna Mboya ameeleza kuwawatuhumiwa wote wapo gerezani wakisubiri upepelezi wa kesi yao ya mauaji inayowakabili ukamilike na hakuna kati yao anayetoka nje ya gereza na kurudi kama mtu huru.
Jeshi la Magereza nchini limelazimika kutoa ufafanuzi wa taarifa hii kufutia mbunge wa viti maalum mkoa wa Mwanza Leticia Nyerere kufanya ziara katika gereza la wilaya ya Kwimba na taarifa za ziara hiyo kuchapishwa katika gazeti moja la kila siku hapa nchini.

Comments

Popular posts from this blog

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...