Skip to main content

Taarifa Kwa Umma- Jeshi La Polisi Lakanusha Watoto Kuhudhuria Shule Wakiwa Gerezani Kwimba



JESHI LA MAGEREZA LAKANUSHA HABARI YA WATOTO KUHUDHURIA SHULE WAKIWA GEREZANI KWIMBA.

Na: Veronica Kazimoto – MAELEZO
Dar es Salaam
4/09/2012.
Jeshi la Magereza nchini limekanusha habari kuwa kuna watoto katika Gereza la Wilaya ya Kwimba wanaoenda shule na kurudi gerezani kuungana na familia yao.
Taarifa iliyotolewa na Kaimu Kamishna Jenerali wa jeshi la Magereza nchini Fideli Mboya, kufuatia habari iliyotolewa na Gazeti moja la kila siku hapa nchini, kuwa kuna watoto Gereza la Kwimba ambao wanahudhuria masomo huku wao na wazazi wao wakiwa gerezani.
“Yote yaliyoelezwa kwenye habari hiyo yana ukweli isipokuwa suala la watoto kuhudhuria masomo wakati wakiwa gerezani,ukweli ni kwamba hakuna watoto wanaotoka gerezani hapo kwenda shule na kurudi gerezani”, imeeleza taarifa hiyo.
Taarifa hiyo ya jeshi la Magereza nchini imeeleza kuwa, kuna familia ya watu watano baba, mama na watoto watatu wenye umri wa miaka 20, 19 na 1 ambao wote ni washtakiwa wa kesi ya mauaji isipokuwa huyo wa umri wa mwaka mmoja.
Katika taarifa yake kaimu Kamishna Mboya ameeleza kuwawatuhumiwa wote wapo gerezani wakisubiri upepelezi wa kesi yao ya mauaji inayowakabili ukamilike na hakuna kati yao anayetoka nje ya gereza na kurudi kama mtu huru.
Jeshi la Magereza nchini limelazimika kutoa ufafanuzi wa taarifa hii kufutia mbunge wa viti maalum mkoa wa Mwanza Leticia Nyerere kufanya ziara katika gereza la wilaya ya Kwimba na taarifa za ziara hiyo kuchapishwa katika gazeti moja la kila siku hapa nchini.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.