Skip to main content

YANGA ndembe ndembe kwa Mtibwa Suger yabebeshwa tani 3-0 za sukari; Simba waleeeeeee!!


Na Father Kidevu Blog na Bongostaz Blog, Morogoro

TIMU ya Yanga SC yenye maskani yake Mtaa wa Jangwani jijini Dar es Salaam leo wameshindwa kupenya katika Mashamba ya Miwa ya Mtibwa Suger FC ya Turiani mjini Morogoro baada ya kuambulia kichapo cha aibu cha magoli 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom.

  
Kikosi kamili cha Yanga ambacho kimekubali kubebeshwa tani 3-0 za Sukari na Mtibwa Suger hii leo.

Wakati Yanga ikiambulia kichapo hicho Mabingwa watetezi Simba SC ya Mtaa wa Msimbazi na mahasimu wakubwa wa Yanga leo wamefanikiwa kuipindisha mitutu ya Askari wa Jeshi la Kujenga Taifa kutoka Ruvu mkoani Pwani (JKT Ruvu) kwa magopli 2-0, mchezo uliochezwa uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam.

Yanga iliyochini ya udhamini mnono wa Kilimanjaro Lager na inayonolewa na Kocha Mbelgiji Tom Saintfiet, ilishindwa kufurukuta kwa wakata miwa hao wa Manungu Turiani wanao nolewa na Kocha Mzalendo na mchezaji wa zamani wa kikosi hicho na kile cha Taifa Stars Meck Mexime.

Yanga ambayo imevuma sana katika magazeti kuwa imefanya usajili wa uhakika kwa kuimarisha safu yake ya Ulinzi ilianza kushushiwa Mvua ya magoli katika dakika ya 11 kipindi cha kwanza.

Goli hilo la kwanza la wana Tam Tam Mtibwa Sukari lilipachikwa kimiani na na beki wa kati, Dickson Daudi akiunganisha kwa kichwa kona ya beki wa kushoto Malika Ndeule.

Niuzembe wa wazi wa mabeki wa Yanga ndio uliosababisha goli hilo baada ya kushindwa kumuweka ulinzi mchezaji mrefu kuliko wote, Daudi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.