Skip to main content

Kutawazwa kwa Rais kwaashiria enzi mpya kwa Somalia

Rais wa Somalia aliyeondoka madarakani Sheikh Sharif Sheikh Ahmed alikabidhi rasmi madaraka kwa Hassan Sheikh Mohamud wakati wa sherehe za kutawazwa kwake katika Makao makuu ya Chuo cha Polisi huko Mogadishu Jumapili (tarehe 16 Septemba).

Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud akizungumza wakati wa sherehe za kutawazwa kwake tarehe 16 Septemba jijini Mogadishu. [Mahmoud Mohamed/Sabahi]

Sherehe hizo, ambazo zilifanyika chini ya ulinzi mkali, zilihudhuriwa na watu wengi maarufu wa kimataifa na kikanda, wakiwemo rais wa Djibouti Ismail Omar Guelleh, Waziri Mkuu wa Ethiopia Haile Mariam Desalegn, Naibu waziri Mkuu wa Uturuki Bakir Bozdag na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Jean Ping.

Wawakilishi kutoka Uganda, Sudan, Qatar, Sudan ya Kusini, Iran, Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika, Umoja wa Falme za Kiarabu na Asasi ya Ushirikiano wa Kiislamu pia walihudhuria sherehe hiyo.

"Leo, Somalia na Jumuiya za kimataifa zinashuhudia mtindo tofauti ambao haukuwahi kuonwa nchini Somalia kwa miongo minne, ambao ni kukabidhi madaraka kutoka kwa rais anayeondoka madarakani kwenda kwa rais aliyechaguliwa kidemokrasia," alisema mbunge, Mohamed Ahmed. "Hii ni mara ya pili katika historia ya Somalia kutokea kwa ukabidhianaji wa madaraka "

Kwa mara ya kwanza ilitokea miaka ya katikati ya 1960 wakati rais Aden Abdullahi Osman, Rais wa kwanza wa Somalia baada ya uhuru, kukabidhi madaraka kwa rais Abdirashid Ali Sharmarke.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.