Skip to main content

Kutawazwa kwa Rais kwaashiria enzi mpya kwa Somalia

Rais wa Somalia aliyeondoka madarakani Sheikh Sharif Sheikh Ahmed alikabidhi rasmi madaraka kwa Hassan Sheikh Mohamud wakati wa sherehe za kutawazwa kwake katika Makao makuu ya Chuo cha Polisi huko Mogadishu Jumapili (tarehe 16 Septemba).

Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud akizungumza wakati wa sherehe za kutawazwa kwake tarehe 16 Septemba jijini Mogadishu. [Mahmoud Mohamed/Sabahi]

Sherehe hizo, ambazo zilifanyika chini ya ulinzi mkali, zilihudhuriwa na watu wengi maarufu wa kimataifa na kikanda, wakiwemo rais wa Djibouti Ismail Omar Guelleh, Waziri Mkuu wa Ethiopia Haile Mariam Desalegn, Naibu waziri Mkuu wa Uturuki Bakir Bozdag na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Jean Ping.

Wawakilishi kutoka Uganda, Sudan, Qatar, Sudan ya Kusini, Iran, Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika, Umoja wa Falme za Kiarabu na Asasi ya Ushirikiano wa Kiislamu pia walihudhuria sherehe hiyo.

"Leo, Somalia na Jumuiya za kimataifa zinashuhudia mtindo tofauti ambao haukuwahi kuonwa nchini Somalia kwa miongo minne, ambao ni kukabidhi madaraka kutoka kwa rais anayeondoka madarakani kwenda kwa rais aliyechaguliwa kidemokrasia," alisema mbunge, Mohamed Ahmed. "Hii ni mara ya pili katika historia ya Somalia kutokea kwa ukabidhianaji wa madaraka "

Kwa mara ya kwanza ilitokea miaka ya katikati ya 1960 wakati rais Aden Abdullahi Osman, Rais wa kwanza wa Somalia baada ya uhuru, kukabidhi madaraka kwa rais Abdirashid Ali Sharmarke.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...