Skip to main content

Clinton amwidhinisha Obama


President Barack Obama joins former President Bill Clinton (R) onstage after Clinton nominated Obama for re-election during the second session of the Democratic National Convention in Charlotte, North Carolina, September 5, 2012. REUTERS/Jason Reed (UNITED STATES - Tags: POLITICS ELECTIONS) // Eingestellt von wa
Rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton ametoa hotuba ya kina kumpigia debe Rais Barack Obama aweze kurejea ikulu kwa mhula wa pili katika uchaguzi wa rais mwezi Novemba.
Hotuba hiyo ya Clinton ilichukua dakika 49 muda ambao ndio mwingi zaidi kuliko wazungumzaji wengine katika mkutano mkuu wa Chama cha Democratic unaoendelea mjini Charlotte, jimbo la North Carolina.
Michelle Obama aliufungua mkutano huo mkuu wa chama cha Democratic akimpigia debe mumewe apewe muda zaidi
Michelle Obama aliufungua mkutano huo mkuu wa 
chama cha Democratic akimpigia debe mumewe 
apewe muda zaidi
Katika hotuba iliyokuwa na maelezo ya kina ya kumwidhinisha Obama, Clinton alizungumzia hoja ambayo imeikumba kampeni ya Obama, kwamba wapiga kura wanakabiliwa na chaguo baina ya sera za chama cha Democratic zenye mafanikio au sera za chama cha Republican ambazo huwafaidisha matajiri kwa gharama ya watu wengine. Lakini Bill Clinton hakukomea hapo.
Huku akionekana kutofuata hotuba yake ya mandishi , Clinton alifafanua masuala muhimu ambayo hayajazungumziwa katika kongamano hilo. Aliusifu mpango wa kichocheo cha uchumi ambao Obama aliweka mnamo wa 2009, upanuzi wake wa msaada wa masomo ya vyuo na juhudi zake za kuboresha nishati mbadala.
Rekodi ya Obama yasifiwa
Alifafanua jinsi sheria ya Obama ya huduma za afya ilivyowanufaisha wamarekani wa kawaida, na akaonya kuwa pendkezo la Warepublican kupunguza matumizi ya huduma za afya kunaweza kuwaathiri watu masikini katika jamii. Alihoji kuwa warepublican huenda wakaendeleza matatizo ya kifedha ya nchi hiyo na kuwazuia watu zaidi dhidi ya kupiga kura.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.