Skip to main content

Clinton amwidhinisha Obama


President Barack Obama joins former President Bill Clinton (R) onstage after Clinton nominated Obama for re-election during the second session of the Democratic National Convention in Charlotte, North Carolina, September 5, 2012. REUTERS/Jason Reed (UNITED STATES - Tags: POLITICS ELECTIONS) // Eingestellt von wa
Rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton ametoa hotuba ya kina kumpigia debe Rais Barack Obama aweze kurejea ikulu kwa mhula wa pili katika uchaguzi wa rais mwezi Novemba.
Hotuba hiyo ya Clinton ilichukua dakika 49 muda ambao ndio mwingi zaidi kuliko wazungumzaji wengine katika mkutano mkuu wa Chama cha Democratic unaoendelea mjini Charlotte, jimbo la North Carolina.
Michelle Obama aliufungua mkutano huo mkuu wa chama cha Democratic akimpigia debe mumewe apewe muda zaidi
Michelle Obama aliufungua mkutano huo mkuu wa 
chama cha Democratic akimpigia debe mumewe 
apewe muda zaidi
Katika hotuba iliyokuwa na maelezo ya kina ya kumwidhinisha Obama, Clinton alizungumzia hoja ambayo imeikumba kampeni ya Obama, kwamba wapiga kura wanakabiliwa na chaguo baina ya sera za chama cha Democratic zenye mafanikio au sera za chama cha Republican ambazo huwafaidisha matajiri kwa gharama ya watu wengine. Lakini Bill Clinton hakukomea hapo.
Huku akionekana kutofuata hotuba yake ya mandishi , Clinton alifafanua masuala muhimu ambayo hayajazungumziwa katika kongamano hilo. Aliusifu mpango wa kichocheo cha uchumi ambao Obama aliweka mnamo wa 2009, upanuzi wake wa msaada wa masomo ya vyuo na juhudi zake za kuboresha nishati mbadala.
Rekodi ya Obama yasifiwa
Alifafanua jinsi sheria ya Obama ya huduma za afya ilivyowanufaisha wamarekani wa kawaida, na akaonya kuwa pendkezo la Warepublican kupunguza matumizi ya huduma za afya kunaweza kuwaathiri watu masikini katika jamii. Alihoji kuwa warepublican huenda wakaendeleza matatizo ya kifedha ya nchi hiyo na kuwazuia watu zaidi dhidi ya kupiga kura.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...